Picha adimu za TANU, Julius Nyerere na wazalendo waliosahaulika katika Historia ya kudai Uhuru

Picha adimu za TANU, Julius Nyerere na wazalendo waliosahaulika katika Historia ya kudai Uhuru

Mohamed Said

My guess is,
Nyerere was like a celebrity by then na watu wengi walipiga naye picha walipopata nafasi. Na si lazima kila aliyepiga picha naye alikuwa ni "mpigania uhuru".
Maeneo fulani yalikaliwa zaidi na watu wa utamaduni/dini fulani kuliko watu wa utamaduni mwingine. Hata ingekuwa leo, Nyerere apige picha Pemba, ataonekana kama amepiga na waislam watupu.
Ninaamini kuwa alipokuwa anatembelea maeneo ya wasukuma au wamasai (kama picha zitawekwa za enzi hizo), picha zitaonesha kuwa ni watanzania wa kawaida wa asili ya kisukuma au kimasai ndio walimpiga "tafu" kwenye mambo ya uhuru. Pia ninaamini kuwa zilikuwepo picha nyingi zilizopigwa wakati huo lakini hazikukidhi ule mtazamo wa mwandishi. It is therefore no coincidence, kwa tunavyokufahamu Mohamed Said, kubandika picha zilizopigwa DSM na kuziacha za sehemu nyingine ili tu kukidhi haja yako ya kuonesha kuwa watu fulani wamesahaulika.
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said

My guess is,
Nyerere was like a celebrity by then na watu wengi walipiga naye picha walipopata nafasi. Na si lazima kila aliyepiga picha naye alikuwa ni "mpigania uhuru".
Maeneo fulani yalikaliwa zaidi na watu wa utamaduni/dini fulani kuliko watu wa utamaduni mwingine. Hata ingekuwa leo, Nyerere apige picha Pemba, ataonekana kama amepiga na waislam watupu.
Ninaamini kuwa alipokuwa anatembelea maeneo ya wasukuma au wamasai (kama picha zitawekwa za enzi hizo), picha zitaonesha kuwa ni watanzania wa kawaida wa asili ya kisukuma au kimasai ndio walimpiga "tafu" kwenye mambo ya uhuru. Pia ninaamini kuwa zilikuwepo picha nyingi zilizopigwa wakati huo lakini hazikukidhi ule mtazamo wa mwandishi. It is therefore no coincidence, kwa tunavyokufahamu Mohamed Said, kubandika picha zilizopigwa DSM na kuziacha za sehemu nyingine ili tu kukidhi haja yako ya kuonesha kuwa watu fulani wamesahaulika.

Ziweke wewe, unangoja nini? tafuta tu hata kwenye mtandao zimejaa picha za Nyerere, tafuta za enzi hizo za wapigania Uhuru wa maeneo mengine utuwekee. Mimi mbona nime google nikapata hiyo ya wazee wa TANU, anza.
 
Nanren,
Siasa za kupigania uhuru hazikuchukua sura ya "festivity" angalia kwa makini hizo picha na usome maelezo ya hao waliokuwapo wakati ule.
 
Vonmadiwa,
Vitabu vinapatikana Ibn Hazm Media Centre Msikiti wa Mtoro na
Manyema na Tanzania Publishing House Samora Avenue Dar es Salaam.
 
Huwezi kuona hata picha moja ya wapigania uhuru mapdri au maaskofu,uhuru wa nchi hii kwa sana umepiganiwa na waislamu, lakini ndio wanaongoza kudharauliwa na kizazi cha sasa inasikitisha sana

Mawazo yako ni ya kitumwa na mafupi. Usije na vitu vya kuambiwa na mwarabu.Unachoambiwa changanya na zako alisemaga JK.
Amani na uhuru wa mtanzania haukuletea na Nyerere pekee yake wala waislam wala matajiri wala wakristo. Bali watanzania waliokuwa na hamu ya kujitawala.
Chuki zenu za udini mpeleke mje ya Tanzania but not in this country. Mtasibiri sana na mkiharibu hii nchi wewe na familia yako hamtakuea salama.
Tutaona kama risasi na mapanga vinatambua mkristo au mwislam. Shwaini na shetani mkubwa wewe.
 
Ziweke wewe, unangoja nini? tafuta tu hata kwenye mtandao zimejaa picha za Nyerere, tafuta za enzi hizo za wapigania Uhuru wa maeneo mengine utuwekee. Mimi mbona nime google nikapata hiyo ya wazee wa TANU, anza.

Sawa.
Ila sipo kushindana na Moh Said kama vile ni ligi, eti yeye abandike picha na mimi niweke.
Nimetoa tu kama 'possible explanation for certain observation'
I may be right, I may be wrong. And I am more interested in reading rather than digging for photos from sources I don't have...
I hope "umenisoma"
 
Sawa.
Ila sipo kushindana na Moh Said kama vile ni ligi, eti yeye abandike picha na mimi niweke.
Nimetoa tu kama 'possible explanation for certain observation'
I may be right, I may be wrong. And I am more interested in reading rather than digging for photos from sources I don't have...
I hope "umenisoma"

Mimi nipo kushindana, tuwekee hizo picha, watafute na wenzako mje hapa mtuoneshe harakati za mikoani za kudai Uhuru tuone vibaraghashia kuwa hakuna.

Hiyo 'possible explanation for certain observation' yako iambatane na ushahidi si kwa kuhororoja na kubwabwaja tu.


bibiNyereretalk.jpg


Unaona baraghashia hizo za tarabushi na kanzu zilivyojaa mkutanoni....

Chanzo: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ametangulia-mbele-ya-haki-32.html#post9650670
 
The Boss,
Wakati ule utazuia vipi lebasi hizo ilhali hao ndiyo wenye chama chao?
Utaanzia wapi kuliambia Baraza la Wazee wa TANU wasivae kanzu na kofia?

Kaka Mohamed Said hii habari imekupambanua vizuri hila na unafiki wako
wewe kitu cha kwanza kwako ni Kabila UMANYEMA na cha pili UISLAM

ni ajabu na kweli, kuandika kote historia yako lakini wewe ulimsahau huyu Bwana Ali Mshamu na wala hilo tawi la mtaa wa Jaribu hujawahi kuliongelea kokote, sababu huyo Bwana Msham hakuwa Mmamnyema bali Mmatumbi/ Mngindo
 
Last edited by a moderator:
.....kiukweli waislam ndio wanaharakati wa mwanzo wa upiganiaji uhuru wa Tanganyika kwani harakati nyingi zilianzia pwani kwa wazee wa kiswahili......heko wazee wa kiswahili kwa kuanzisha freedom movements.......endelezeni umoja wetu wa kitaifa na tuzuie hila zote za mipasuko ya aina yoyote ile........
 
.....kiukweli waislam ndio wanaharakati wa mwanzo wa upiganiaji uhuru wa Tanganyika kwani harakati nyingi zilianzia pwani kwa wazee wa kiswahili......heko wazee wa kiswahili kwa kuanzisha freedom movements.......endelezeni umoja wetu wa kitaifa na tuzuie hila zote za mipasuko ya aina yoyote ile........

Na usisahau waliokuwa wametutawala ndio wamisionari wamiliki wa makanisa na taasisi zake, unategemea Padri gani angetoka kanisani kwenda kudai uhuru?
 
Mimi nipo kushindana, tuwekee hizo picha, watafute na wenzako mje hapa mtuonehse harakati za mikoani za kudai Uhuru tuone vibaraghashia kuwa hakuna.

Hiyo 'possible explanation for certain observation' yako iambatane na ushahidi si

Nimekusoma
 
Kaka Mohamed Said hii habari imekupambanua vizuri hila na unafiki wako
wewe kitu cha kwanza kwako ni Kabila UMANYEMA na cha pili UISLAM

ni ajabu na kweli, kuandika kote historia yako lakini wewe ulimsahau huyu Bwana Ali Mshamu na wala hilo tawi la mtaa wa Jaribu hujawahi kuliongelea kokote, sababu huyo Bwana Msham hakuwa Mmamnyema bali Mmatumbi/ Mngindo

Kituko,
Umeaandika bila ya kufanya utafiti hata kwa uchache.
Tuanze na kuwasahau Wamatumbi, Wangindo na mfano kama hao.

Huenda hujasoma kitabu cha Abdul Sykes.

Hao wote nimewataja katika kitabu changu tena kwanza katika mapambano
ya wafanyakazi na Waingereza mwaka wa 1947 na 1949 na kabla ya hapo
nimewataja katika Vita Vya Maji Maji kisha katika mgogoro wa Al Jamiatul
Islamiyya fi Tanganyika 1940s kati ya "watu wa kuja" yaani Wamanyema,
Wazulu na Wanubi dhidi ya "wazawa," Wazaramo, Wamatumbi, Wangido na
wengineo.

Nimewataja, "wazawa," sana kwenye kitabu changu.
Unamjua Sheikh Idrissa bin Saad alikuwa kabila gani?

Unajua Msham Awadhi muasisi wa TANU Mikindani alikuwa kabila gani?
Je Abdallah Mohamed muasisi wa TANU Mtwara alikuwa kabila gani?

Je Bi. Shariffa biti Mzee na yeye alikuwa kabila gani?

Sheikh Mohamed Yusuf Badi na wanafunzi wake wawili Yusuf Chembera na
Salum Mpunga walioasisi TANU Lindi walikuwa kabila gani?

Kituko,
Tuwe wastaarabu katika mnakasha.
maneno kama "hila" na "unafiki" yanaelemea kwenye matusi.

Hapa tunagonganisha fikra tu tunakubaliana au tunapingana hatuko katika
ugomvi.

Ikiwa hujasoma kitabu cha Abdul Sykes kisome.
Hutakuja tena Majlis na hoja hizi zako za Wamanyema.

Ama kuhusu Uislam.
Alhamdulilah namshukuru Allah kuwa mimi ni Muislam.
 
Kituko,Umeaandika bila ya kufanya utafiti hata kwa uchache.Tuanze na kuwasahau Wamatumbi, Wangindo na mfano kama hao.Huenda hujasoma kitabu cha Abdul Sykes.Hao wote nimewataja katika kitabu changu tena kwanza katika mapambano ya wafanyakazi na Waingereza mwaka wa 1947 na 1949 na kabla ya hapo nimewataja katika Vita Vya Maji Maji kisha katika mgogoro wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika 1940s kati ya "watu wa kuja" yaani Wamanyema,Wazulu na Wanubi dhidi ya "wazawa," Wazaramo, Wamatumbi, Wangido na wengineo.Nimewataja, "wazawa," sana kwenye kitabu changu.Unamjua Sheikh Idrissa bin Saad alikuwa kabila gani?Unajua Msham Awadhi muasisi wa TANU Mikindani alikuwa kabila gani?Je Abdallah Mohamed muasisi wa TANU Mtwara alikuwa kabila gani?Je Bi. Shariffa biti Mzee na yeye alikuwa kabila gani?Sheikh Mohamed Yusuf Badi na wanafunzi wake wawili Yusuf Chembera naSalum Mpunga walioasisi TANU Lindi walikuwa kabila gani?Kituko,Tuwe wastaarabu katika mnakasha.maneno kama "hila" na "unafiki" yanaelemea kwenye matusi.Hapa tunagonganisha fikra tu tunakubaliana au tunapingana hatuko katikaugomvi.Ikiwa hujasoma kitabu cha Abdul Sykes kisome.Hutakuja tena Majlis na hoja hizi zako za Wamanyema.Ama kuhusu Uislam.Alhamdulilah namshukuru Allah kuwa mimi ni Muislam.

Kuna Magreat thinkers humu Nguruvi3, Mag3, Jasusi, Mzee Mwanakijiji na wengineo walikuwa wanabainisha kuwa wewe unachoandika siku zote ni Histohisia na wala sio Historia, maana umeandika kitu bila kuwa na dta na utafiti wa kutosha, Huwezi kuwa unasimamia kisa cha Mshume Kiyate na ukamsahau Bwana Ally Masham, inaonekana hilo tawi lilikuwa active sana lakini wewe wala habari nalo huna, wewe ni Gerezani na Kipata tu, Ukiulizwa habari za Magomeni basi wa kwanza kutajwa ni Tambaza

Kaka Mohamed Said, unajinasibisha kuwa unaandika historia ya waliosahaulika, mbona wewe hukuweka habari za hilo tawi la Jaribu? Nalo umelisahau? Kwa hiyo na watoto wake waje na Historia yao ya waliosahaulika?

Naomba pia kuuliza kwa nini zaidi ya asilimia 90 ya picha za Tanu zinazoonekana hakuna the Skyes family members wanayeonekana? Nilitegemea kabisa picha za hilo tawi la Jaribu kumuona Abdul
 
Ila hii nchi kama tungeendelea na misingi iliyowekwa enzi hizo tungekuwa mbali sana, sijui wapi palipindishwa na mambo kuwa hivi yalivyo leo hii.
 
point yenu ni nini hasa?

Hata mimi ninawashangaa akina Mohammed Said na wenzake! Point niionayo hapa ni udini tu.
Ikiwa hao wazalendo (wa imani yako) walisahaulika ktk historia ya kudai uhuru wa nchi yetu, sisi tufanyeje?
Kuna haja ya kurudisha muda nyuma ili hao wazalendo walio makaburini warudi na kupewa stahili zao?
 
Kituko,
Ili tufanye mnakasha wenye tija ningependa awali ya yote kuelewa
kama umekisoma kitabu cha Abdul Sykes.
 
Back
Top Bottom