Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 3,135
- 3,392
Mohamed Said
My guess is,
Nyerere was like a celebrity by then na watu wengi walipiga naye picha walipopata nafasi. Na si lazima kila aliyepiga picha naye alikuwa ni "mpigania uhuru".
Maeneo fulani yalikaliwa zaidi na watu wa utamaduni/dini fulani kuliko watu wa utamaduni mwingine. Hata ingekuwa leo, Nyerere apige picha Pemba, ataonekana kama amepiga na waislam watupu.
Ninaamini kuwa alipokuwa anatembelea maeneo ya wasukuma au wamasai (kama picha zitawekwa za enzi hizo), picha zitaonesha kuwa ni watanzania wa kawaida wa asili ya kisukuma au kimasai ndio walimpiga "tafu" kwenye mambo ya uhuru. Pia ninaamini kuwa zilikuwepo picha nyingi zilizopigwa wakati huo lakini hazikukidhi ule mtazamo wa mwandishi. It is therefore no coincidence, kwa tunavyokufahamu Mohamed Said, kubandika picha zilizopigwa DSM na kuziacha za sehemu nyingine ili tu kukidhi haja yako ya kuonesha kuwa watu fulani wamesahaulika.
My guess is,
Nyerere was like a celebrity by then na watu wengi walipiga naye picha walipopata nafasi. Na si lazima kila aliyepiga picha naye alikuwa ni "mpigania uhuru".
Maeneo fulani yalikaliwa zaidi na watu wa utamaduni/dini fulani kuliko watu wa utamaduni mwingine. Hata ingekuwa leo, Nyerere apige picha Pemba, ataonekana kama amepiga na waislam watupu.
Ninaamini kuwa alipokuwa anatembelea maeneo ya wasukuma au wamasai (kama picha zitawekwa za enzi hizo), picha zitaonesha kuwa ni watanzania wa kawaida wa asili ya kisukuma au kimasai ndio walimpiga "tafu" kwenye mambo ya uhuru. Pia ninaamini kuwa zilikuwepo picha nyingi zilizopigwa wakati huo lakini hazikukidhi ule mtazamo wa mwandishi. It is therefore no coincidence, kwa tunavyokufahamu Mohamed Said, kubandika picha zilizopigwa DSM na kuziacha za sehemu nyingine ili tu kukidhi haja yako ya kuonesha kuwa watu fulani wamesahaulika.
Last edited by a moderator: