salahsahim4
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 219
- 50
Shukran sana mzee MS nakupongeza kwa ujasiri wako haya maandiko yako unayo yaandika bila ujasiri ulionao sirahisi kuyaandika.
Dunia hii ya leo yenye uhuru wa kuandika utegemee kupata mjibu machafu zaidi ya maandiko lakini nadhani kwa umri wako na elmu yako unao uwezo wakuhimili.
Mkuu Mohamed Said, hakika makala zako kuhusu Tanganyika zinavutia, hasahasa pale unapoambatanisha na picha za enzi hizo.
Ila punguza hisia za udini kwenye hizi makala ili jamii nzima ifaidi elimu hii.
Ni ushauri tu mzee wangu.