Picha: AINA ZA VITAMBI

Picha: AINA ZA VITAMBI

Watu wembamba tukiwa na vitambi ..... kwashiokoor design ni noma!
 


1. Kitambi Mvurugo -- hiki kitambi kimekaa kama O.
Kinapatikana kwa kula sana kitimoto.

2. Kitambi Mchuchumio -- hiki kitambi kimekaa kama
herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na bia za
ofa.

3. Kitambi Mbonyeo -- Akivua shati kitovu hakionekani.
Hiki wanacho wala rushwa. Ila akisimamishwa kazi
kinaisha.

4. Kitambi Mtepeto -- Ni kitambi cha wastani ambacho
ukivaa nguo pana
hakionekani. kinasababishwa na kula mno viporo.

5. Kitambi Mfumanio: hiki mtu anakuwa hana pesa ila
kitambi ni kutokana na minyoo na utapiamlo wa ukubwani.

6. Kitambi Mtunguo: Hiki wanacho sana wadada. Kina
umbo la yai. Hiki kwa 'diet' hakitoki labda Kwa Maombi tu.

HAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA da aiseeeeeeeeeeeeeeeee
TANMO atakua ana kitambi mvurugo hahahahahaaaaa
my brother mayenga ana kitambi cha Mchuchumio hahahaaa
My dadiiiii Excel alikuwa na mtepeto ila kwa sasa kimeisha sababu ameacha kula viporo
my x shem mgiriki yeye ana Mbonyeo lol...
Bila kumsahau best yangu, my brother from "anaza" mama Himidini... yeye ana mchuchumio pia hahahaaaaa
Mie hapa... nina hicho cha mtunguo.. kila siku naingia kwenye maombi ila hata kupungua kimegoma lol....
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hii kali sana, nasubiri ufafanuzi kutoka kwa Mzizi mkavu [MENTION]mzizi mkavu[/MENTION]
 
Kitambi sasa usiwe na hela!
Kuna wazee wa kahawa na kula kashata wao kucheza draft sana ila wanazo
 
kitambi kwa wanaume wala hakiwatesi wao

kina tutesa sisi

unataka kujua kwa nini???
lazima kiwatese maana uwa kinabebwa na kutupiwa juu ya mgongo jinsia ya ke pale anapo kua anachuma mchicha zaidi ya hapo dushelele haina mashiko ya kufanya makeke pia mnapata shida ya kukisukuma kwa mbele ivi pale jinsia me anapo kupa ujisevie usipo komaaa kulisukuma tumbo husika dushelele kuipata inakua shida saaaaaaaana
 
HAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA da aiseeeeeeeeeeeeeeeee
TANMO atakua ana kitambi mvurugo hahahahahaaaaa
my brother mayenga ana kitambi cha Mchuchumio hahahaaa
My dadiiiii Excel alikuwa na mtepeto ila kwa sasa kimeisha sababu ameacha kula viporo
my x shem mgiriki yeye ana Mbonyeo lol...
Bila kumsahau best yangu, my brother from "anaza" mama Himidini... yeye ana mchuchumio pia hahahaaaaa
Mie hapa... nina hicho cha mtunguo.. kila siku naingia kwenye maombi ila hata kupungua kimegoma lol....

^^
Ha ha haaaaaaa! I will be back
^^
 
lazima kiwatese maana uwa kinabebwa na kutupiwa juu ya mgongo jinsia ya ke pale anapo kua anachuma mchicha zaidi ya hapo dushelele haina mashiko ya kufanya makeke pia mnapata shida ya kukisukuma kwa mbele ivi pale jinsia me anapo kupa ujisevie usipo komaaa kulisukuma tumbo husika dushelele kuipata inakua shida saaaaaaaana

una experience mmh ulishashuhudia nini


au umetoa wapi mmmh
 
Very interesting. Itakaa poa zaidi ukiweka source ya info.yako
Post hii haina source ya kitaaluma @SNAP! (ie no scientific base and analysis of pot bellies).Kwa hiyo kwangu hii thread naiona kama gumzo la kustarehesha jukwaa. Ndio maana namwomba Paw au PainKiller aihamishie post hii kule Jokes+Udaku+Gossip.
 
Last edited by a moderator:
Post hii haina source ya kitaaluma @SNAP! (ie no scientific base and analysis of pot bellies).Kwa hiyo kwangu hii thread naiona kama gumzo la kustarehesha jukwaa. Ndio maana namwomba Paw au PainKiller aihamishie post hii kule Jokes+Udaku+Gossip.

Haina kwere kiongozi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom