PICHA: Ajali mbaya mlima Sekenke - Lori la Mafuta lateketeza wanne kwa moto!

PICHA: Ajali mbaya mlima Sekenke - Lori la Mafuta lateketeza wanne kwa moto!

Joined
Jan 1, 2014
Posts
14
Reaction score
8
Kuna ajali mbaya sana imetokea mlima Sekenke muda huu na watu 4 amefariki dunia.Ajali hiyo ilitokea wakati gari la mafuta kufeli breki na kuingia darajani na kulipuka moto.

Ni ajali mbaya sana ambayo ni vigumu kuielezea.

-------------
Dah watu wa nne mmoja ni mwanamke wameteketea So sad aisee!!

============



se4.jpg

Wanainchi wakiangalia Lori baada ya kuungua
se5.jpg

Mabaki ya Lori hilo bada ya kuteketea kabisa na moto jioni hii
se6.jpg

Baadhi ya wasafiri wakitazama lori lililongua jioni hii
se7.jpg


se9.jpg

Bonde la mlima sekenke linavyoonekana na baadhi ya miti imeunguaa
se11.jpg


Hii ni njia ya mlima sekenke
se.jpg

Haya ni mabaki ya mwili wa mmoja ya watu walikuwam kwenye Lori hiloo
see.jpg

Moto ukimalizikia kwa mbaliii kama inavyoonekana
 
Dah watu wa nne mmoja ni mwanamke wameteketea So sad aisee!!
 
poleni sana,mlima sekenke si ulisha rekebishwa?hapo sijaelewa mkuu
 
Back
Top Bottom