Offline User
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 3,828
- 2,393
Tank la mafuta mwanamke alikuwa anatafuta nini humo?
Mwanamke ndo alikuwa dereva! Una lingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tank la mafuta mwanamke alikuwa anatafuta nini humo?
Kama walikuwa wema, wazidishiwe wema wao na kama walikuwa waovu, walipwe malipo yatokanayo na uovu wao.
Mwanamke ndo alikuwa dereva!...
Kuna ajali mbaya sana imetokea mlima Sekenke muda huu na watu 4 amefariki dunia.Ajali hiyo ilitokea wakati gari la mafuta kufeli breki na kuingia darajani na kulipuka moto.
Ni ajali mbaya sana ambayo ni vigumu kuielezea.
-------------
Hilo gari ni la kampuni ipi?
Kama sio Scania itakua TATA
awalaze maali walipo.jichagulia. Tuache lugha za kumfundisha mungu,kazi je! Ikiwa mareemu alimkataa,mungu na kutegemea vibuyu na amekufa na vibuyu vyake? Je mungu yupo hapo? Kila mtu atalazwa maali alipojichagulia. No fojari.
Hakuna kufuta kauli ikiwezekana tupewe bunduki kabisa waone shughuli yao.
Kaka yangu mtendaji wa kijiji ametobolewa jicho hapa Kahama watamlipa nini?
Kama wataenda huko Umoja wa Mataifa nawataka wapitie kwangu video na picha za hawa waliokatwa mikono,miguu na picha ya kaka yangu aliyonyofolewa jicho ili kesi iwe nzuri.
Inaniuma Kutoka moyoni.
poleni sana,mlima sekenke si ulisha rekebishwa?hapo sijaelewa mkuu
weka picha
ni kweli wa R.I.P lakini wanaweza kuwa si watanzania!R.I.P Watanzania.