PICHA: Ajali mbaya mlima Sekenke - Lori la Mafuta lateketeza wanne kwa moto!

PICHA: Ajali mbaya mlima Sekenke - Lori la Mafuta lateketeza wanne kwa moto!

Ni huzuni sana lakini Bwana ametoa,Bwana Ametwaa na Jina lake lihimidiwe. Ameen!
 
awalaze maali walipo.jichagulia. Tuache lugha za kumfundisha mungu,kazi je! Ikiwa mareemu alimkataa,mungu na kutegemea vibuyu na amekufa na vibuyu vyake? Je mungu yupo hapo? Kila mtu atalazwa maali alipojichagulia. No fojari.

Aiseee ninii?? Wapumzike mahali walipojiandalia wakati wa uhai wao ndo usemi unaotakiwa. RIP unayajua matendo yaon??
Mafundisho ya dini mpya hizi... dini za zamani zinafundisha binadamu kutohukumu maaana huruma ya Mungu inapita ufahamu wetu. ni ngumu kumhukumu mtu hata kama ametenda makosa kama ya Yuda Iskarioti.
 
Alikuwa ameopolewa

ujue mambo ya kusafiri na mwanamke ni gundu na mkosi mkubwa sana aisee usijaribu fanyia uchafu wowote kwenye gari sababu huwa halilazi siku lazima lilipize lazima utapata majanga tuu kama halujakusumbua kwakuharibika haribika hovyo basi ajari ipo nawe.

uchawi wa mzungu na masharti yake bwana
 
Dah! Inasikitisha sana kwa kweli, pumzikeni kwa amani wapendwa wetu.
 
awalaze maali walipo.jichagulia. Tuache lugha za kumfundisha mungu,kazi je! Ikiwa mareemu alimkataa,mungu na kutegemea vibuyu na amekufa na vibuyu vyake? Je mungu yupo hapo? Kila mtu atalazwa maali alipojichagulia. No fojari.

Kazi ya Mungu haina makosa,Rest in eternal peace people
 
awalaze maali walipo.jichagulia. Tuache lugha za kumfundisha mungu,kazi je! Ikiwa mareemu alimkataa,mungu na kutegemea vibuyu na amekufa na vibuyu vyake? Je mungu yupo hapo? Kila mtu atalazwa maali alipojichagulia. No fojari.

jamiiforums mwisho wa yote...
 
Back
Top Bottom