Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Vipi mbona haumsifii mama au hujaridhika na utendaji wake?Kwa nini unamuonea gere jamaa wazi wazi kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi mbona haumsifii mama au hujaridhika na utendaji wake?Kwa nini unamuonea gere jamaa wazi wazi kabisa.
We kamanda upo sawa ki akili? Hapo kuna ufisadi?Bado ana hela alizoiba, tumpe miaka mitatu kama atakuwa bado kwenye kilimo cha maSelfie.
Unabonga hovyo kama kamanda uchwara wa ufipa. Sasa hayo mambo sijui ya mama umeyatoa wapi kwenye mada inayomhusu mkulima Ally Hapi?Vipi mbona haumsifii mama au hujaridhika na utendaji wake?
Jehanamu ndio wapi huko?Jehanamu sio mbele ya haki bwashee.
Ana au una??Ahaaaa. Ananyoosha nyanya kipando cha kisasa
Ana laana huyo!
Kama ni raha, na wewe tangulia!Utabaki unalia hovyo hovyo tu. Mwenzako keshatangulia mbele ya haki.
Kwa nini usitangulie wewe kwanza?Kama ni raha, na wewe tangulia!
Angekuwa hivyo asingeshindwa ukuu wa mkoanamkubali sana ally hap kijana huyo atafika mbali tangu akiwa chuo ni mtu anayejitambua na anayejuwa anafanya nini.
Kwa hiyo we hujitambui na hujuwi unafanya nininamkubali sana ally hap kijana huyo atafika mbali tangu akiwa chuo ni mtu anayejitambua na anayejuwa anafanya nini.
Hakuna kilimo cha selfieAcha a enjoy maisha ni vizuri kama alijiwekeza KWENYE kilimo
Namalizia vip wewe ndo umekimbia mazima?Ulimaliza la saba?
Hujajibu swaliUnabonga hovyo kama kamanda uchwara wa ufipa. Sasa hayo mambo sijui ya mama umeyatoa wapi kwenye mada inayomhusu mkulima Ally Hapi?
Dogo alitoka na kibunda
Bada ya kuona uchawa haumsaidii ameamua kujikita kwenye kilimo. Hongera zake.