hahahhahha, ni mwanamme rijaliKwamba ni 'shostito'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahhahha, ni mwanamme rijaliKwamba ni 'shostito'
Ninyi ndo mnajifanyaga hamjui kiluga lkn ukitukanwa unaelewa..Hiyo lugha ya watu na mie nadandia tu!!!
Aisee!!Ila ni kweli aisee nafanana vingi na Wentworth Miller ndo maana namkubali..
Mie ni mpare najua kipare, hicho sio kipareNinyi ndo mnajifanyaga hamjui kiluga lkn ukitukanwa unaelewa..
....[emoji23] [emoji23] [emoji23] Umepatia, agiza balimi nalipa![]()
Unaonekana Msomi hewa
Aisee ya nn mkuuAisee!!
Balimi huwa naagiza kwa pesa zangu za machozi, kwa kuwa ni offer kutoka kwako naomba nisuuze roho kwa HENKEN hahahahahahahah....[emoji23] [emoji23] [emoji23] Umepatia, agiza balimi nalipa
Hahaaa haya kachochee makande na njegere hukooMie ni mpare najua kipare, hicho sio kipare
....[emoji23] [emoji23] As you wish boss Agiza na kitimoto kabisa maana sio kwa kunipatia huko!Balimi huwa naagiza kwa pesa zangu za machozi, kwa kuwa ni offer kutoka kwako naomba nisuuze roho kwa HENKEN hahahahahahahah
Stakhiahari veterans mkuu na wakongwe wenzangu kama IDD paziMkuu unachezea clabu gani
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ngoja niichambue hii avatar niliiona samuwhea hahahah
![]()
Uyo ni bikira maria au?
Hahaaa haya kachochee makande na njegere hukoo
Chukua wanzuki kwa mama muuza
hahahahahahahahaahahaha....[emoji23] [emoji23] As you wish boss Agiza na kitimoto kabisa maana sio kwa kunipatia huko!