Picha bandia za akili mnemba (AI) zilivyotumika kuwadanganya waarabu mpaka wakaanza kuandamana

Picha bandia za akili mnemba (AI) zilivyotumika kuwadanganya waarabu mpaka wakaanza kuandamana

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] malizia basi na aya inayofata.

45:17 - Na tukawapa maelezo wazi ya amri. Basi hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa ajili ya uhasidi uliyo kuwa baina yao. Hakika Mola wako Mlezi atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika mambo waliyo kuwa wakikhitalifiana.


Hawa kina Yuda Eskarioti walilaaniwa mpaka na Yesu pamoja na Daudi kutokana na kuasi kwao na kupenda kufanya mauaji ya watu wasio na hatia.

5:78 - Walilaaniwa walio kufuru miongoni mwa Wana wa Israili kwa ulimi wa Daud na wa Isa mwana wa Maryamu. Hayo ni kwa sababu waliasi na wakawa wanapindukia mipaka.
 
Wewe mpuuzi yahudi mweusi, wayahudi wenzako wamechezea kichapo cha maana tena kwa kusaidiwa na mataifa matano makubwa, Hamas anadeal na wajeda, wao wanaishia kuua wanawake na watoto na kuvunja majengo, ubongo wako ni mdogo sana na unaendeshwa na mihemko ya kijinga, hapa JF wewe ni kituko sema hujajishtukia tu,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo kasaidiwa ? na waarabu hawajui ila ww ndo unajua?
 
AI inaharibu sana kizazi chetu kwa namna nyingi hata kufikiri tunashindwa sikuhizi..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo kasaidiwa ? na waarabu hawajui ila ww ndo unajua?
Wewe choko,Dunia nzima inajua kua Zionist wamesaidiwa,aliyekwambia kua waarabu hawajui ni nani? Mpaka sasa hivi US wapo Israel na ndio wanaratibu kila kitu,mwanzo kabisa Israel kaomba $10 B na ndio nchi inayoongoza kwa kupokea misaada toka US,

Acha kuishi chini ya makalio,tafuta taarifa kiazi wewe.
 
Back
Top Bottom