Picha: Bifu la Diva na Sintah, Wema aingilia kati

Picha: Bifu la Diva na Sintah, Wema aingilia kati

Status
Not open for further replies.
Jamberi

Dah makubwa haya inaonyesha ni hatari kumbe ndo mana bidada diva kapaniki ingawa wameachana roho.ina.muuma
 
Last edited by a moderator:
Huyu Diva ni mmoja ya watangazaji ambao nati zao kichwani zimeachia kabisa!
 
Duh kwa hiyo diva kashaungua...mawee namwonea huruma Gk
 
afu diva mwehu naskia kamchamba marehemu (dada wa mjini simjui jina) afu kafuta post fasta IG
 
hahahahaha jf rocks nimecheka kuanzia mwanzo adi hapa segito wa kalenga ndio ameua. Hii dunia raha sana
 
Me sijawahi kuona msichana anaachwa afu unakomaa kutaka watu wajue kama umetembea na man fulani, while mmeshamwagana. Sielewi anajaribu kuprove nini kwa kutuaminisha kuwa ashatembea na zitto, na still anajiita mrs GK. Hakika GK ana moyo wa kipekee pheeeeew
 
Heaven Sent

Inaonyeshaa hata akiachana Gk atamsambaza balaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom