ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Ngojea Kingkong aje atuthibitishie hapa kama kuna REA au mbolea ya Minjingu.
Hamna kitu raha kama mwanaume ung'ang'aniwe na mwanamke maana yake anakupa kick ya kuwapata wengine.Nahisi Jamal Malinzi ana mtoto garasa anawaza kugegedwa kila dakika,kila anayemhoji akiwa jinsia yake tofauti anamtaka amgegede.
hahahaaaa...atampa mapela na mishkaki,,lol
Kumbe dada na ww ukichukia unagombaeee? Ama kwel kakuudhi
Naskia yule kalelewa na mama mdogo wake huko kwa jamali anajipeleka tu kwa sasa