Aahahahaha si ndoa apo, ray c sasa iv kafulia vibaya, nashangaa mijitu inavyosema eti kajitahid wakat ule mgahawa sio wa hadhi ya staa kama yeye, nj aibu sana
Waache wale bata wachawi tupo apa, halafu akija kufulia nione mimbwa inamtetea apo baadae akianza kuuza mihogo na chapati
Busara;mu exclude mamake kwenye comments zako mkuu..
Ipo siku ntaenda kuwavizia tu *****, watajutaje, labda wahamie mbinguni
Sometimes me naamini hizi hela wanazohongwa zina laana. Mbona wanakuwa wajinga hivyo?? Hawahangaiki kuinvest kokote. Kesho wanaporwa kila kitu wanachanganyikiwaje, but atapata buzi jipya na litamuhonga, afu still suala la kuinvest analisahau tena. Mmh hizo hongo sina imani nazo
Shida yako kununuliwa nyumba? Usijali n'takununulia lakini jina la kwenye hati langu na hati nakaa nayo mwenyewe na ww unabaki na lihati magumashi.
Lulu unajua mama yako ni maskini na wewe huna elimu wala kazi ya maana, huo umalaya utakuua utamuacha mdogo wako akiteseka maana wanakutegemea ukajiuze wee ndo mpate pesa ya mboga kwenu, ivi huoni aibu mtoto mdogo umalaya
Hela hata hazina laana,wao hawajielewi tu,badala ya kuinvest wanashindana kuhongwa.
BTW nimekumiss wife
Hamna bana. Mbona si tuking'atwa tu na nyoka tukiona tu majani tunashtuka fasta. Wote hawana akili ya kujifunza kupitia makosa yao? Ukiinvest si ndo unazungusha hela zako na. unapata zaidi ya kuwamwagia waimbaji wa band??
Mith yeew even more hubby. Weekend si inaanza, tutaspend vya kutosha barbie wangu.
Ngoja wazeeke tuone kama watawavutia wahongaji,na umri ukienda bila hela lazima waombe mchango .
*******-*************************
Weekend ndo hii lazima upate kitu roho inapenda lovito.
Si unajua tukiwa pamoja raha sana
Lulu unajua mama yako ni maskini na wewe huna elimu wala kazi ya maana, huo umalaya utakuua utamuacha mdogo wako akiteseka maana wanakutegemea ukajiuze wee ndo mpate pesa ya mboga kwenu, ivi huoni aibu mtoto mdogo umalaya
Ipo siku ntaenda kuwavizia tu *****, watajutaje, labda wahamie mbinguni
Wakike ninae, kazur kako kijijin na mama yake
Kwani huyu lulu baba yake hatoi hela y matunzo,huyo mdogo nae baba yke hatoi matunzo
Huyu mtoto ni mpumbavu, na ile nyumba aliyokuwa akijenga sijui imekuwaje, au ndo ilikuwa danganya toto, maana mastaa wanayaweza kwa kweli, ukapange nyumba ya laki nane kwa mwezi wakati anajua mama yake ni masikini na yeye hana elimu wala pesa
Ntaku pm twende binamu tukashuhudie, ye anakimbilia mbezi beach anafikr hakuna wambeya, ata amini macho yake