Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Aahahahaha si ndoa apo, ray c sasa iv kafulia vibaya, nashangaa mijitu inavyosema eti kajitahid wakat ule mgahawa sio wa hadhi ya staa kama yeye, nj aibu sana
Waache wale bata wachawi tupo apa, halafu akija kufulia nione mimbwa inamtetea apo baadae akianza kuuza mihogo na chapati
Ray C hajajitahidi,mgahawa kama ule msanii akikomaa kwenye shows anaufungua kwa hela ya single moja ya wimbo,unaweza kuta hata hajaujenga wala si ardhi ya kununua bali kakodi,halafu useme kajitahidi wakati alikuwa na album na jina kubwa