Picha: Billionea ampangishia Lulu jumba la kifahari

Picha: Billionea ampangishia Lulu jumba la kifahari

Ha ha ha ha kuna baa nyingine hapo carwash karibu na jopas atapata wateja baa zipo nyingi nyingi mama asiwe na shaka kabisaa

Kuna ile bar mpya karibia na kwa zena kawawa, halafu kuna kule mbele karibia na ambrosia naona kuna vi bar wamefungua vinajaaga sana pale, nadhan hatakosa, nita ku pm jpil twende tukajifanye na sisi wakishua mbona ata amini macho yake
 
Kuna ile bar mpya karibia na kwa zena kawawa, halafu kuna kule mbele karibia na ambrosia naona kuna vi bar wamefungua vinajaaga sana pale, nadhan hatakosa, nita ku pm jpil twende tukajifanye na sisi wakishua mbona ata amini macho yake

Utanipitia na mimii,camera zote chukuaaa
 
Baba yake lulu ni auditor, yupo vizur sana kifedha, nasikia alikuwa mume wa mtu mama lulu akachepuka na huyo mzee ndo akazaliwa lulu, si unajua wana haramu hawathaminiki? Sasa ndo ivo lulu hana mbel wala nyuma ila baba yake ana uwezo mkubwa tu sema yupo busy na watoto wake wa ndoa maana lulu kashindikana kwa umalaya hataki watu wajue kama lulu ni mwanae

Ila huyo baba hayuko fair mtoto ni mtoto 2 hakuna w nje wala ndani,angemchukua akae nae labda angebadilika huwezi jua,huyo mwingne maza kazaa n nani
 
Kuna ile bar mpya karibia na kwa zena kawawa, halafu kuna kule mbele karibia na ambrosia naona kuna vi bar wamefungua vinajaaga sana pale, nadhan hatakosa, nita ku pm jpil twende tukajifanye na sisi wakishua mbona ata amini macho yake

Alaf hizi baa za mbezi sijui vip zimepangana nyingi mtaa ule lakin zote huwa zinajaa huwa nnajiuliza sana wateja wengine sio wakazi au maana kutokea pale round about mpaka kwa zena kawawa kuna baa nyingi sana na kwanzia leo jioni mpaka jion zimejaa
 
Utanipitia na mimii,camera zote chukuaaa

USisahau na memory card ile ya GB 300, maana siku ile ulikuja na kimemory cha mb 50 yan uliniudh maumbea yote yakatupita , picha ndo habar ya mujini sasa ivi
 
USisahau na memory card ile ya GB 300, maana siku ile ulikuja na kimemory cha mb 50 yan uliniudh maumbea yote yakatupita , picha ndo habar ya mujini sasa ivi

Teh teh teh unipitie na kigari chakoooo
 
MoudyBoka

Goli moja kilo ndo bei ya chini hiyo fasta
 
Last edited by a moderator:
Hivi siku hiz wanaume ni wagumu kuwanunulia nyumba mademu ni kuwapangishia tu,
Sio Lulu tu pia kuna rafiki yangu kapangishiwa bonge la nyumba
tatizo tukiwanunulia nyumba hamueleweki nyie,ukinitosa niendelee kukuona tu kwenye nyumba yangu..gari nitakupa card feki,nyumba nakupangishia tu..
 
tatizo tukiwanunulia nyumba hamueleweki nyie,ukinitosa niendelee kukuona tu kwenye nyumba yangu..gari nitakupa card feki,nyumba nakupangishia tu..

Heeeee basi ni sheeedaaa
 
Rip Kanumba.....ipo siku mungu atakulipizia kisasi.binti mbaya sb.ona anakula utamu na mtu mwingine,muda si mrefu naye katamuua ....
 
Alaf hizi baa za mbezi sijui vip zimepangana nyingi mtaa ule lakin zote huwa zinajaa huwa nnajiuliza sana wateja wengine sio wakazi au maana kutokea pale round about mpaka kwa zena kawawa kuna baa nyingi sana na kwanzia leo jioni mpaka jion zimejaa

Kule kuna watu wana pesa mbaya, kuna club inaitwa ambrisia iko karibu n round about, yan kule ni full watoto wa kishua, Dinazarde ukitaka madanga ya maana we siku ntakupeleka pale
 
Last edited by a moderator:
Ila huyo baba hayuko fair mtoto ni mtoto 2 hakuna w nje wala ndani,angemchukua akae nae labda angebadilika huwezi jua,huyo mwingne maza kazaa n nani

Mwanaume mwingine, atakuwa ndo wale wale tu choka mbaya, maana dogo anasomeshwa na lulu yan lulu ndo kila kitu om
 
Kule kuna watu wana pesa mbaya, kuna club inaitwa ambrisia iko karibu n round about, yan kule ni full watoto wa kishua, Dinazarde ukitaka madanga ya maana we siku ntakupeleka pale

We mi sitafuti madanga wala majanga
 
Last edited by a moderator:
Hivi siku hiz wanaume ni wagumu kuwanunulia nyumba mademu ni kuwapangishia tu,
Sio Lulu tu pia kuna rafiki yangu kapangishiwa bonge la nyumba

tatizo hanuelewek hamchelew kutuacha kwny mataa
 
Mashauzi kama hayo ya Nyumba na Nguo , sijui Dizaina sijui Madudu gani yaliwahi kuonyeshwa na Yule Mrembo wetu aliyebananishwa Makau- Chineze , the Panadol Business mhhh hata Msitishike wanakuwa na Makubwa sana hao Mabinti !
 
Back
Top Bottom