PICHA: Binti amshangaza mpenzi wake kwa kumnunulia gari siku ya Valentine

PICHA: Binti amshangaza mpenzi wake kwa kumnunulia gari siku ya Valentine

Tahahah..!!! Hapo cha kufanya kadi ya gari abaki nayo mwanamke
Alafu huyo mwanamume anatakiwa amuulize: WHAT’S THE CATCH ?
THERE IS NOTHING LIKE FREE LUNCH IN THIS BEAUTIFUL WORLD
 
Alafu huyo mwanamume anatakiwa amuulize: WHAT’S THE CATCH ?
THERE IS NOTHING LIKE FREE LUNCH IN THIS BEAUTIFUL WORLD
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]cha bure Wakati mwanamke anajua kawekeza

Na wakenya kwa kujiua au kuua ni kama wa South Afrk
 
Anakopa hela,tena anakopa kwa mzazi kumfururahisha boyfriend na sio mume wake, unasema anafaa kuigwa,he!
Haaya dada zetu,na we muige
Mi nataka mfano aje anipe nokia ya Obama (toch)
 
Ni muhimu sana kumuomba Mungu uzao mwema kabla ya kuchukua hatua. Huyo binti kiazi sana akipigwa chini strock inammaliza.
 
Ndiyo midemu ya siku hizi. Afadhali sijazaa mototo wa kile. Ni pasua kichwa.
Mkuu umeongea kwa jazba kweli kweli, anyway shukuru Mungu. Ingekua umemzaa halafu akafanya hilo jambo nahis angekua ICU
 
angekuwaa mwananguu.. kwanza ningeanzaa na hako kajamaa. Nakaweka ndani nakafungulia kesi ta utapeli alafu nachukua hiyo gar naenda kuipiga mnada..
 
Bongo huku akikununulia atahakikisha mtaa mzima unajua,Joyce kiria kalipa kodi ya nyumba tuu dunia imejua
Wanaume tupige kazi kazi yoyote halal ili tuwe na kipato kwa sababu hawa mama zetu ni balaaaa.
 
Back
Top Bottom