ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
Usifanye mchezo na mwanamke[emoji23][emoji23]wanaume akil zetu tunazijua Akija kuachwa atalia kama mbuzi
Atamdai mpaka aimbe HALELLUYA!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usifanye mchezo na mwanamke[emoji23][emoji23]wanaume akil zetu tunazijua Akija kuachwa atalia kama mbuzi
Tahahah..!!! Hapo cha kufanya kadi ya gari abaki nayo mwanamkeUsifanye mchezo na mwanamke
Atamdai mpaka aimbe HALELLUYA!
Anakopa hela,tena anakopa kwa mzazi kumfururahisha boyfriend na sio mume wake, unasema anafaa kuigwa,he!huyo ni mwanamke wa kuigwa Hawaii wa apa bongo anataka umlelee 100% utasema hana wazazi
Alafu huyo mwanamume anatakiwa amuulize: WHAT’S THE CATCH ?Tahahah..!!! Hapo cha kufanya kadi ya gari abaki nayo mwanamke
[emoji23][emoji23]Mtaje mshirik mmojaTanthiliya ya kibongo hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]cha bure Wakati mwanamke anajua kawekezaAlafu huyo mwanamume anatakiwa amuulize: WHAT’S THE CATCH ?
THERE IS NOTHING LIKE FREE LUNCH IN THIS BEAUTIFUL WORLD
Mi nataka mfano aje anipe nokia ya Obama (toch)Anakopa hela,tena anakopa kwa mzazi kumfururahisha boyfriend na sio mume wake, unasema anafaa kuigwa,he!
Haaya dada zetu,na we muige
Kwa kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]cha bure Wakati mwanamke anajua kawekeza
Na wakenya kwa kujiua au kuua ni kama wa South Afrk
Mkuu umeongea kwa jazba kweli kweli, anyway shukuru Mungu. Ingekua umemzaa halafu akafanya hilo jambo nahis angekua ICUNdiyo midemu ya siku hizi. Afadhali sijazaa mototo wa kile. Ni pasua kichwa.
Sasa utafananisha na Hawa wa bongo kila kitu anakutegemea.Anakopa hela,tena anakopa kwa mzazi kumfururahisha boyfriend na sio mume wake, unasema anafaa kuigwa,he!
Haaya dada zetu,na we muige
kuna mademu wanazingua ile mbya sema tu uzuri ndo unatufanya tuwashobokeeAnakufany we ndo mzaz wake
Wanaume tupige kazi kazi yoyote halal ili tuwe na kipato kwa sababu hawa mama zetu ni balaaaa.Bongo huku akikununulia atahakikisha mtaa mzima unajua,Joyce kiria kalipa kodi ya nyumba tuu dunia imejua