le Mutuz anapenda sifa jamani.............
yani wagogo wenzake hawanaga hzo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
le Mutuz anapenda sifa jamani.............
yani wagogo wenzake hawanaga hzo..
Hivi bado wanaume wanafanya birthday?
Hivi harusi yake iliishia wapi
nauza samaki wa mapambo
aina tofauti kama zifuatavyo
black more
shiling 10000 kwa pea serfin
more
shiling 10000 kwa pea orange more shiling 10000
kwa pea gapi wekundu
shiling 10000 kwa pea gold fish
shilingi10000 kwa pea na aina
nyingine nyingi kwa
picha zaidi tembelea facebook page
appolinary william utaona picha
ya samaki
kwa picha na mawasiliano
whats app number 0712505049
huduma hadi nyumbani kwako
Hivi ndivyo ilivyokuwa
I guess only totoz where invited..
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Huyo Hamisa kawa mweupe hivyoo anafanana na wachina halaf
huu utakuwa Mkorogo wa Obagi
- Hamna mkorogo huyo ni Super Model namba moja Tanzania nzima hakunagaz punguzeni mawivu ya kitoto!!, ok!!
Le Mutuz
- Hamna mkorogo huyo ni Super Model namba moja Tanzania nzima hakunagaz punguzeni mawivu ya kitoto!!, ok!!
Le Mutuz
Ama kweli ngoja na mie nianzishe show ya babu bomba I guess le mutuz ataibuka na ushindi wa kishindo!!
Hata mi ntampigia kura, maana kati ya watu ambao wananifanya kila siku nicheke ni Lemutuzi, lazima niingie kwenye blog yake kila siku na ni lazima utacheka, halafu anafanya makusudi tu.