Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo simu mkuu zinapatikana hapa nchini? Vipi kuhusu gharamaVipo visimu vinaitwa Aquos vinapicha kali balaa, vinatoa uhalisia halisi, havichanganyi rangi, vina sharp color ya ajabu sana, pia picha ni ujuzi jinsi ya kupiga, kumbuka watu wanasomea hadi mwaka upigaji wa picha nzuri /
Mkuu ametaka simu yenye Camera nzuri na bei yake ipo vizuri ndio nikamtajia hiyo ila hizi IPhone series au Sumsung S 23 utra zipo bei juu sio swala la mashindano hapo au...Kiongozi; hiyo ina Camera nzuri ila kwenye mashindano ya camera kali za simu haiwezi kuingia
kwani hata A73 imeipita
Zipo mkuu na si bei ghali sana 180-250.Hizo simu mkuu zinapatikana hapa nchini? Vipi kuhusu gharama
Pitia hii galaxy a13Hapa naona uzi tu ufungwe. Nilichokihitaji kimetimia
50MP | 2MP | 32MP Selfie | 1080 p Video Camera | Cost=360k
Mimi nimependa hizo shati aisee
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Nimejaribu kuifuatilia hiyo s23, nimeshtuka sana baada ya kukuta inauzwa Tsh 2.3m. Mkuu hakuna simu ya bei chee inayopiga picha kama hiyo?
Ni moja tu kaka[emoji1][emoji1]Hiyo bei sio kwa pcs?
Yani sio bei ya Pc moja bali ni bei ya jumla kuanzia Pc kadhaa?
Natumia hii. Ni nzuri sana hii simu . Natumia ya 4+64Pitia hii galaxy a13 View attachment 2786015