Picha: CCM wapigakura wenu hawana simu? Siku ya wanawake mlitia aibu sana mitandaoni, nchi nzima ilisimama na CHADEMA

Picha: CCM wapigakura wenu hawana simu? Siku ya wanawake mlitia aibu sana mitandaoni, nchi nzima ilisimama na CHADEMA

McLaren

Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
53
Reaction score
78
Wakuu,

Hivi CCM wanapojitambaga kwamba wana wanachama Milioni 10, hawa wanachama likija tukio kubwa la kitaifa, huwa wanaendaga wapi?

Au hawa wanachama wote hawana simu na devices za kufuatilia matukio ya CCM humu mitandaoni?

Wikiendi iliyopita tuliona kulikuwa na matukio ya kuadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake. Tukio moja liliongozwa na Rais Samia huko Arusha meanwhile CHADEMA walikuwa na tukio lao huko Mlimani City.

photo_2025-03-12_15-32-16.jpg

Kinachongaza ni kuwa chama chenye wanachama Milioni 12 kiliambulia kupata watazamaji 1000 tu kwenye tukio meanwhile CHADEMA walitazamwa mara 50k.

photo_2025-03-12_15-29-59.jpg

Maana yake ni kwamba CCM waliangaliwa na 0.0083% ya wanachama wao.

Hii ni wazi kuwa CCM imepoteza mvuto na hakuna mtu ambayo anahangaika nayo.
 
Wakuu,

Hivi CCM wanapojitambaga kwamba wana wanachama Milioni 10, hawa wanachama likija tukio kubwa la kitaifa, huwa wanaendaga wapi?

Au hawa wanachama wote hawana simu na devices za kufuatilia matukio ya CCM humu mitandaoni?

Wikiendi iliyopita tuliona kulikuwa na matukio ya kuadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake. Tukio moja liliongozwa na Rais Samia huko Arusha meanwhile CHADEMA walikuwa na tukio lao huko Mlimani City.


Kinachongaza ni kuwa chama chenye wanachama Milioni 12 kiliambulia kupata watazamaji 1000 tu kwenye tukio meanwhile CHADEMA walitazamwa mara 50k.


Maana yake ni kwamba CCM waliangaliwa na 0.0083% ya wanachama wao.

Hii ni wazi kuwa CCM imepoteza mvuto na hakuna mtu ambayo anahangaika nayo.
Namba hazidanganyi
 
Pesa za Goli la Mama lasababisha TFF kushindwa kuididia serikali na agizo lake la ovyo la kusitisha mechi na kuinyima Yanga point za mezani. Nimejua kuwa kanisa Katoriki wako sasa kurudisha sadaka/ mchango wa Rais wa Kenya. Tundu Lissu yuko sahihi kuyakemea haya.
 
Mkuu u
Wakuu,

Hivi CCM wanapojitambaga kwamba wana wanachama Milioni 10, hawa wanachama likija tukio kubwa la kitaifa, huwa wanaendaga wapi?

Au hawa wanachama wote hawana simu na devices za kufuatilia matukio ya CCM humu mitandaoni?

Wikiendi iliyopita tuliona kulikuwa na matukio ya kuadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake. Tukio moja liliongozwa na Rais Samia huko Arusha meanwhile CHADEMA walikuwa na tukio lao huko Mlimani City.


Kinachongaza ni kuwa chama chenye wanachama Milioni 12 kiliambulia kupata watazamaji 1000 tu kwenye tukio meanwhile CHADEMA walitazamwa mara 50k.


Maana yake ni kwamba CCM waliangaliwa na 0.0083% ya wanachama wao.

Hii ni wazi kuwa CCM imepoteza mvuto na hakuna mtu ambayo anahangaika nayo.
MKuu unakosea sana, yaani raisi wa nchi unamuweka level moja na Mwenyekiti wa ACT wazalendo?
 
Utoto tu.Kwahiyo ulitaka waangalie kwenye Tv na kwenye simu?.Unatakiwa ujue kua hizo ni takwimu za watazamaji sio wanachama.Huu ujinga ndo unawafanyaga mnajiona mko wengi kumbe kwenye uhalisia hakuna kitu.
 
Mwenye uhakika wa kushika Dola anasubiria uchaguzi Ili anadi sera apewe kura ashinde!!

Upinzani hauna uhakika hata wakishinda wanatangazwa Kwa mbinde!!
 
Wakuu,

Hivi CCM wanapojitambaga kwamba wana wanachama Milioni 10, hawa wanachama likija tukio kubwa la kitaifa, huwa wanaendaga wapi?

Au hawa wanachama wote hawana simu na devices za kufuatilia matukio ya CCM humu mitandaoni?

Wikiendi iliyopita tuliona kulikuwa na matukio ya kuadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake. Tukio moja liliongozwa na Rais Samia huko Arusha meanwhile CHADEMA walikuwa na tukio lao huko Mlimani City.


Kinachongaza ni kuwa chama chenye wanachama Milioni 12 kiliambulia kupata watazamaji 1000 tu kwenye tukio meanwhile CHADEMA walitazamwa mara 50k.


Maana yake ni kwamba CCM waliangaliwa na 0.0083% ya wanachama wao.

Hii ni wazi kuwa CCM imepoteza mvuto na hakuna mtu ambayo anahangaika nayo.
Nani sasa apoteze muda kuangalia matra**** ya Bashite na Bibi yake???
 
Tukio lilikuwa live kwenye TV na vyombo vya wazi vya habari. Kwanini ukatazame tena YouTube?
 
Back
Top Bottom