Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Mi nilidhani bongo kumbe mamtoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
besti na mimi nmesikitika sana tu japo hata kwa hao wengine pia ni mbaya,
but wrestling is my best show i enjoy...
sasa huyu jamaa si akina big show, undertaker, rand orton na wengineo wanammalizia masikini mule mule ndani?
Rio paul, martin kadinda
Tena Rio ndo ananikera kichizi, ongezea AR na hassanali pia!
K 4 real wanambandua pia???are u sure??sio alibakwa kwa bahati mbaya???
Vipi kuhusu hawa wabongo huyu martida kusinzia na penina woman- wakubebe
Humu ndani kuja jamaa anajiita Scofield...
Ningekuwa Mimi ningalibadili Hiyo id
Hahah..penina woman-wakubebe
bila kumsau k 4 real.
Kwa hiyo?Nasikia FA alikua anajiita Michael Scofield wa bongo
Nasikia FA alikua anajiita Michael Scofield wa bongo
Mkuu nilikuwa napenda hilo jina kutokana na u-character wake kwenye prison break....na The flash....
Anajua ku-act kiukweli....but hiyo mishe ya ucameron unamuharibia...
Na wewe ulishawahi kujita Michael Scofield wa mtaani kwenu?
Hahaaaaaa....
I never thought, ila nilipenda jina tuu
Si ushampata mkuu