Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GOD BLESS LEMA!God bless CHADEMA, God bless LISSU, God bless Tanzania. Freedom is coming Tomorrow ✌️
Amen.
Usihofu watahudumiwa kilakitu na CCM.MAWAKALA WA CHADEMA CHONDE CHONDE MSIKUBALI UPUMBAVU NA MBINU ZOZOTE OVU KWENYE VYUMBA VYA KUHESABIA KURA..
NARUDIA TENA MAWAKALA CHONDE CHONDE MSIKUBALI UPUMBAVU WOWOTE KWENYE VYUMBA VYA KUHESABIA KURA.
MSIOGOPE HATA KIFO.
MAWAKALA WA CHADEMA CHONDE CHONDE MSIKUBALI UPUMBAVU NA MBINU ZOZOTE OVU KWENYE VYUMBA VYA KUHESABIA KURA..
NARUDIA TENA MAWAKALA CHONDE CHONDE MSIKUBALI UPUMBAVU WOWOTE KWENYE VYUMBA VYA KUHESABIA KURA.
MSIOGOPE HATA KIFO.
Mwaka wa haki.Maneno matupu hayavunji mfupa , mtiti wa Mwang'ombe huu hapa , Huu ni umati wa wanakijiji cha Kapunga .
View attachment 1601498View attachment 1601499View attachment 1601500View attachment 1601501View attachment 1601502View attachment 1601503
endelea kujitekenya na gari bovu lenu hilo ambalo muda wowote liko gerejiHivi hizi picha za mikutano ya kampeni ya Chadema za mwaka 2020 ni bora zaidi kuliko 2015? Kazi mnayo wapinzani uchwara! Hata Lissu mwenyewe ameshakata tamaa sema ni vile tu inabidi akamilishe ratiba ya kampeni. Ndio maana Magufuli ameona asipoteze muda kwa kwenda mikoa ambayo tayari kuna kura za kutosha kabla hata ya kampeni. Upinzani huu kuong'o ccm madarakani mimi nitahama nchi kwa mshangao! tarehe 28/0/2020 MAGULI MAPEEEEMA IKULU!
Picha za kutengenezaManeno matupu hayavunji mfupa , mtiti wa Mwang'ombe huu hapa , Huu ni umati wa wanakijiji cha Kapunga .
View attachment 1601498View attachment 1601499View attachment 1601500View attachment 1601501View attachment 1601502View attachment 1601503
Hii inaweza kutokea kama 2015, Lowassa kashinda ushindi ukaporwa kwa nguvu na Ccm na hakuna kilichofanyika hata leo!Maneno matupu hayavunji mfupa , mtiti wa Mwang'ombe huu hapa , Huu ni umati wa wanakijiji cha Kapunga .
View attachment 1601498View attachment 1601499View attachment 1601500View attachment 1601501View attachment 1601502View attachment 1601503
alaf chadema sio kwamba wanaibiwa kura njaa ndo inawaponza mawakala wanauza kura. Mfano mzur 2015 huyo mwang'ombe ali lala mbele bila kulipa mawakala wake jimbo zima alaf hao hao unataka 2020 wakulindie kura zako real??... wakala tangu asubuh hamna hata maji kila kitu anaogongea kwa wakala wa ccm hizo nguvu za kutetea kura za mgombea wake wa chadema anazitoa wap??MAWAKALA WA CHADEMA CHONDE CHONDE MSIKUBALI UPUMBAVU NA MBINU ZOZOTE OVU KWENYE VYUMBA VYA KUHESABIA KURA..
NARUDIA TENA MAWAKALA CHONDE CHONDE MSIKUBALI UPUMBAVU WOWOTE KWENYE VYUMBA VYA KUHESABIA KURA.
MSIOGOPE HATA KIFO.
Safari hii hatutamwachia MunguHii inaweza kutokea kama 2015, Lowassa kashinda ushindi ukaporwa kwa nguvu na Ccm na hakuna kilichofanyika hata leo!
Nimechukua likizo ya dharura ili niweze kurudi kijijini mimi na familia yangu tukampigie kura diwani, mbunge na rais kutoka chama kinacho-uphold utawala wa sheria, haki,uhuru na umoja.
Tuhakikishiwe hatua stahiki ikiwa yatatokea ya 2015
Jamaa anaondoka aisee...kweli Mungu yupo!! na amesikia vilio vyetu!!Maneno matupu hayavunji mfupa , mtiti wa Mwang'ombe huu hapa , Huu ni umati wa wanakijiji cha Kapunga .
View attachment 1601498View attachment 1601499View attachment 1601500View attachment 1601501View attachment 1601502View attachment 1601503
Watu wasiojulikana waishaanza kujitokeza , karibu sanatupo mbarali huyo mwang'ombe anapigwa saa 1 asubuh tena kama kwao chimala hapa ndo hafikishi hata kura 200
Sent using Jamii Forums mobile app
Joined Yesterday !Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi 1992.