Uchaguzi 2020 Picha: CHADEMA yaendelea na kampeni Mbarali , CCM hali mbaya

Mwenyezi Mungu akawe kiongozi wenu, awaongoze na kuwasimamia katika kupigania haki na usawa vilivyonajisiwa na watawala waovu wa ccm
juzi mwenzenu anapigwa na ccm mbele yenu mlifanya nini??? tena nyumbani kwa mgombea wenu ndo mtaweza kulinda kura zinapigiwa kwenye vituo vya ccm???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa jinsi Kampeni zinavyoendelea Tundu Lissu anajizolea asilimia 82%ya kura za Uraisi na asilimia 70%ya Viti vya Ubunge

Jambo la ajabu na lakushangaza ni pale Stephen Masele ati kaambiwa angojee apewe cheo cha huruma

Masele Bro jump ship chombo chazama hicho
 
MAWAKALA WA CHADEMA CHONDE CHONDE MSIKUBALI UPUMBAVU NA MBINU ZOZOTE OVU KWENYE VYUMBA VYA KUHESABIA KURA..

NARUDIA TENA MAWAKALA CHONDE CHONDE MSIKUBALI UPUMBAVU WOWOTE KWENYE VYUMBA VYA KUHESABIA KURA.

MSIOGOPE HATA KIFO.

Tatizo Mawakala wakisimamia haki wanaochaguliwa wanaunga juhudi kwa kukuhama chama. Pia wakikomaza shingo hadi vifo viwapate, chama hakizikumbuki family zao. So, nadhani huu ni wakati wa kuzichanga akili vizuri, wanachukua za Mbayuwayi then wanachanganya na za kwao..!! RIP Alphonse Mawazo na wenzake..!!
 
Mgonjwa hoi bin taabani. Sasa majibu aliyopewa ndiyo utajua huyu mhutu hapendwi hata chembe.
Daah hayo majibu aliyopewa mzee yamempa picha ni namna gani hapendwi. Mzee nae anajua hali ilivyo tight kwake, ni wakina Bia Yetu tu na mataga wengine wanaojifariji tu humu
 
Reactions: BAK
Mungu ibariki Chadema
Mmebakiza Siku chache za kujifariji hakuna namna mtakikimbia kishindo cha CCM.

Kwa pamoja, wewe,yeye,yule na mimi tukampe kura za ndio JPM

October 28th kura zote za ndio ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Daah hayo majibu aliyopewa mzee yamempa picha ni namna gani hapendwi. Mzee nae anajua hali ilivyo tight kwake, ni wakina Bia Yetu tu na mataga wengine wanaojifariji tu humu

Magufuli ameingia Twitter kupima kina cha Maji kabla hajakunywa Maji! Bila shaka alichokipata kwene Twitter kinatosha kumpa picha ya kina cha Ujazo wa maji. Kazi kwake apige mbizi au apite kandokando ya Ziwa...🤣🤣🤣
 
Mgonjwa hoi bin taabani. Sasa majibu aliyopewa ndiyo utajua huyu mhutu hapendwi hata chembe.
Aisee kama magu anasoma hizi twits ni balaa kama ana moyo wa nyama lazima alie machozi mengi, duh!
 
Reactions: BAK
Wacha wampakie na kumtusi maana alidhani ana hati miliki ya Tanzania kufanya udikteta na maovu ya kutisha kwa raia ikiwemo mauaji.
Aisee kama magu anasoma hizi twits ni balaa kama ana moyo wa nyama lazima alie machozi mengi, duh!
 
Changanya hizi na za 2015 ndio ujue hujui
 
Ninachokiona CCM imeshakata tamaa kwenye kampeni kwa sasa inafanya mikakati ya kuiba kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…