Wapo vizur sanaa ila zari anahela sanaa
kwan uliitwa humu ?sio lazima kuchangia,waweza kusoma na kusepaSina wivu, akipata au akikosa hainisaidii zaidi ya ninachopata.
Usipanic mdogo wangu, maisha ni kupambana, ipo siku jenga imani piga kazi kila kitu kinawezekana.kwan uliitwa humu ?sio lazima kuchangia,waweza kusoma na kusepa
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Hivi ni kibibi huwa ananifurahishaga
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]πππππ kutwa kuchwa kupitia nyuzi na comments zilizo kosewa, kama ni kibarua amekipata.
...reseat kwanza upate angalau credit 3 ntakununulia na wewe.,Hii couple ninachoipendea ni independent, hakuna anayemtegemea mwenzie wote ni ma fighter
Ni ya nanisio yao
Hiyo ni Bentley au Chrysler 300 ?Naona shemeji yetu ana Bentley..
Huku brazakaka akipush X6.
...mashaAllah!..wanawake wenzio wangekuwa wanaulizaga swali hilimama ako umemnunulia?