Picha: Daktari gaidi aliyeuawa na Israel

We kwanza ni jibu hakuna college za kijeshi unafanya course umevaa civilian dress?

Je mfano mimi nivae nguo za jeshi ndio nimekuwa mwanajeshi.

Kuna wengine wanapenda kuvaa nguo za jeshi toka wako shule za msingi. ndio wanajeshi.

Au doctor nilazime avae koti lyeupe ndio awe dr akivaa la kijeshi kawa askari sio doctor😄

Mfano mimi nipige picture na wanajeshi wa JWTZ, na ndugu yangu ni mwanajeshi kaniambia nipige nao picture wenzake askari, nivae magwanda ya kaka yangu, afu picture isambae watu watasema mimi ni askari wa JWTZ.
 
Aisee unazunguka weee lakini hoja zako nyepesi sana sana na hata mifano yako haikidhi katika mada husika, ninachoona
Ni wewe kujikita sana katika kubisha kuliko uhalisia wa mambo , kuna kitu kinaitwa lugha ya mwili na lugha ya picha hayo yote hayaonyeshi mazingira unayoyataka wewe kwa marehemu dokta hayapo kabisa
 
Nani ajikute mjinga ila kwa sababu nishakuelewa vizuri sana " jione mshindi" maana hukawii kutoa mifano isiyoendana kabisa na uhalisia
Na wewe kwa uwezo wako huo wa kupambanua mambo bado , tumia uhalisia kuliko hisia na itikadi
 
Samia ni amir jesh mkuu we pimbi.
 
Yaani
Hivi kati ya IDF na HAMAS ni kina nani wanapaswa kupewa sifa ya UGAIDI kwa vitendo vyao ?

Sijajua kwanini dunia inaaminishwaga uwongo kuliko uhalisia na inakubali.
 
Wewe dogo nimekufahamu huna point, nimekupa point huko imezikimbia.

Swali lingine we kila anacho ongea Israel unaona wao wako sawa, yani kesho Israel akikuambia JWTZ ni magaidi utakubaliano nao.

Us na Israel wao ndio magaidi wa kwanza duniani fatilia story zao, siku za nyuma walitumia UN kwa faida zao, katika wakati wa vita na Iraq G. W. Bush alivamia Iraq bila kupewa approved na UN nani mwingine ataweza fanya hayo

Mahakama ya ICC alikuwa anaitumia kwa faida zake, alipo ona Israel safari hi viongozi wake wamehukumiwa, US wanasema wataipiga sunction afu we kwenye akili yako hao sio magaidi 😄


Hebu tuwekee picture za ma commander in chief za Biden. Obama, Clinton na Trump au hao sio macommander in chief 😄
 
Nani ajikute mjinga ila kwa sababu nishakuelewa vizuri sana " jione mshindi" maana hukawii kutoa mifano isiyoendana kabisa na uhalisia
Na wewe kwa uwezo wako huo wa kupambanua mambo bado , tumia uhalisia kuliko hisia na itikadi
Wewe unaye jiona ndio unafata uhalisia, dalili zako umezipata wapi kama huyo Dr alikuwa commander zaidi ya kufata ujinga na propoganda za US na Israel.

Uliwahi ona wapi nchi zikiwa vitani wakasema upande wa pili wanafata sheria, si watawaita tu magaidi,tatizo lako akili zako zipo kwenye kopo la mawese una weweseka.

We unaona maprisoner wa Palestine wanavyo teswa, wanawake na wanaume tena hao raia wakawaida pamoja na watoto, wengine mpaa wanaletewa mbwa wafanye nao sex.

Wanapigwa na nyundo, umeme yani kila aina ya ushenzi hilo ndio taifa kweli la Mungu kwenye akili yako, Mungu yupi mnayemuabudu nyie anaye halalisha anayo fanya Israel na US.

Tazama sasa mnao waita magaidi wasichana waisrael walio shikwa kama matekwa, tena wengine ni wanajeshi hawajafanyiwa ushenzi wowote, hata taifa la kishoga a.k.a la teule wa kikristo limekiri hayo.

Sa nani ni muongo, nani mkweli na nani gaidi nani si gaidi katika nilio ongea.


Funguka wewe sio kila lisemwalo kwenye media lipo na si kila vazi likivaliwa ndio lina muonyesha uhalisi wa yule aliye vaa.


Haji manara, diamond na kina so and so wanao vaa kanzu na wao ni warabu?

Leo uje uone dada yako kwenye picture yupo kitandani na mwanaume, utaenda moja kwa moja kumshtumu dada yako ni mzinifu bila kuchunguza?


Wewe hakuna siku umezuliwa uwongo? Unataka walio kuzulia uwongo watu wawamini?

Kondoo atabaki kuwa kondoo
 
Maarab ni ya ku piga na, kuua kabisa,
Haya yakiingia nchi za kikristo, ku tafuta hifadhi, huja mikono IPO nyuma, yakipewa nafasi, yatataka wenyeji wao wabadilishe tamaduni zao ili ziendane na za kiislam/Arabs,
Hakuna mkristo anayeteseka popote duniani anayeomba hifadhi nchi za kiarab, lakini kila islam anayeteseka duniani, kuwnzia Sudan, Somalia, Libya, afghasnstsn, anataka hifadhi, nchi, za kikristo za, ulaya, hawaendi, Saudis kwa islam wenzao,
 
Kondoo wewe warabu ndio wanao walisha America na Europe kama hujui.

Wanawalazimisha warabu wakainvest kwao, fatilia vizuri uone nchi za kiarabu wanavyo invest America na Europe wakikosa pesa za warabu watabaki na njaa.

Saud arabia analazimishwa anunue maslaha kuyatumia hayatumoi.


Saudi Arabia has a sovereign wealth fund called the Public Investment Fund, which has more than $35 billion in American companies like Amazon, Walmart, rideshare and the food delivery company Uber Technologies, as well as the major ticketing platform Live Nation Entertainment.

In terms of investments, the UAE has US$38.1 billion in assets in the US, which is more than 50% of the total FDI from Arab countries in America at the end of 2022. These investments are mainly in transportation, business services, software and IT services, real estate, food and beverages, and aerospace.


Us bila warabu hapumui na Europe vile vile
 
Yaani

Hivi kati ya IDF na HAMAS ni kina nani wanapaswa kupewa sifa ya UGAIDI kwa vitendo vyao ?

Sijajua kwanini dunia inaaminishwaga uwongo kuliko uhalisia na inakubali.
Ukimiliki akili za mashoga unamiliki na ujinga wao wanalishiwa kila uharo alimuradi wamesema mabwana zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…