Picha: Diamond amnunulia ndinga mpya Zari

Picha: Diamond amnunulia ndinga mpya Zari

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Mwanamama mrembo na mjasiriamali kutoka pande Za uganda [emoji1254], Zari the bosslady , kwenye insta story amepost picha akiwa kwenye ndinga yake mpya ikiwa imeambana na caption ya kumshukuru baba T (Diamond) kwa kumuwezesha kuipata gari hiyo mpya.

“ Sante Baba T for the Top up “ aliandika zari kwenye insta story yake .

Mmh shoga angu nae anapenda drama ndo kutuambia anapendwa sana au mxieew , ila hongera mwenzangu sijui unarogaga wapi loh

IMG_4713.jpg
 
Hiyo caption haionesh baba t kanunua hilo gari. Wala gari lenyewe halioneshi kuwa ni mali ya zari hapo naona kaweka tako tu kuwarusha roho akina warumi

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona cocastic na @victorie walituambia Domo kwa sasa amefulia, hana tena pesa za white flour [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lol wee bestie hebu nipishe huko nawee mxieeeeew, haya onesha hyo caption? Khaaaaaah
 
Hizi kiki ipo siku domo ata"rwafi" ili akiki,tupo na shishi na uchebe
 
Back
Top Bottom