Itakua wanajua mfuko wakeMbona cocastic na @victorie walituambia Domo kwa sasa amefulia, hana tena pesa za white flour [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kweli, amaboko imekuwa boko[emoji1]Wiki mbili hizi mbaya sana kwa domo ,katoa audio tu msiba huoo ukateka insta. Katoa video shishi na uchebe wake wamejaa tele insta.
Kapewa kiki south bado watu hawashtukidaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lol wee bestie hebu nipishe huko nawee mxieeeeew, haya onesha hyo caption? KhaaaaaahMbona cocastic na @victorie walituambia Domo kwa sasa amefulia, hana tena pesa za white flour [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kapiga stocking nyeusi wanaitaga hivo sijui nimepatia.Zari anajichubua uso wa kizungu miguu ya kimatumbi.
Ooh sawa! Ningeshangaa maana rangi ya miguu yake naifahamu.Kapiga stocking nyeusi wanaitaga hivo sijui nimepatia.
Hongera kwa kuifahamu mkuu.Ooh sawa! Ningeshangaa maana rangi ya miguu yake naifahamu.