Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila huyu jamaa mbahili hatari,wema atamkumbuka sana clement,kwa hustle za diamond halafu from no where amuhonge wema v8? Thubutuu..thumb up brother,anachapa anakimbia zake
mbona kasema Baby Diamond atamnunulia hata week mbili hazitoisha
Hii gari Mzee nanii wa Msasani ameiuza? nipe muda nilete data.
BXF ni gari ya mwaka juzi........
Hivi gari yenye namba T....BXF ni gari jipya??? Labda mie sijui maana ya gari jipya nifafanulieni
Tatizo la wa Tz chuki binafsi, wivu na mengine vimetutawala. Huwezi kusifia mtu akifanya kitu kizuri au akiwa na mafanikio katika maisha. Kwani mkifurahia mTz mwenzenu kijana mdogo kajitahidi jamani kuna kosa. Hapa nikisoma nadhani ni mmoja au wawili wame appreciate jitihada za Naseeb, wengine wote mmeponda wakati hata pikipiki hamna... dah.... nimechoka kabisa. Eti BXF ni gari mpya? wewe la kwako lina namba gani kama sio AAA.... Acheni hizo....
Mpeni Diamond sifa zake, anajitahidi sana. Sidhani kama kuna msanii Tz anayefanya vizuri kama yeye. Eti Mr. Nice yuko wapi??? Mr. Nice wala hakufika alipo Diamond. Mwacheni kijana wa watu, hata kama hana elimu lakini ana pesa, nyie mliosoma mmefanya nini, nani hata anawajua Tanzania hii....