Tatizo la wa Tz chuki binafsi, wivu na mengine vimetutawala. Huwezi kusifia mtu akifanya kitu kizuri au akiwa na mafanikio katika maisha. Kwani mkifurahia mTz mwenzenu kijana mdogo kajitahidi jamani kuna kosa. Hapa nikisoma nadhani ni mmoja au wawili wame appreciate jitihada za Naseeb, wengine wote mmeponda wakati hata pikipiki hamna... dah.... nimechoka kabisa. Eti BXF ni gari mpya? wewe la kwako lina namba gani kama sio AAA.... Acheni hizo....
Mpeni Diamond sifa zake, anajitahidi sana. Sidhani kama kuna msanii Tz anayefanya vizuri kama yeye. Eti Mr. Nice yuko wapi??? Mr. Nice wala hakufika alipo Diamond. Mwacheni kijana wa watu, hata kama hana elimu lakini ana pesa, nyie mliosoma mmefanya nini, nani hata anawajua Tanzania hii....
mkuu v8 sio gar ya kitoto kuna moja used bforward inaenda mpaka USD 90000 piga hesabu ya mpya.......halafu dogo mshamba sn hzo gar znawapendeza wazto wenye heshima zao na wavaa suit sasa yeye umbaumbau huo na hlo gar wapi na wapi? jamaa hana washauri kabisa
That's a good USEd car
fake shoes, fake close fake everything hahahah yeezy 2 red ctober not release yet .. stop wore fake stuff
BXF ni gari ya mwaka juzi........
kujua siyo kumiliki!utajua namba zote mpya za magari na kubaki kuziona wengine wanamiliki...wewe unadhani huyo mnyama kumvua mtu ni shughuli ndogo?!...tatizo watu wanasahau umri wa dogo!wengi humu kama siyo wao basi baba zao salary slips zao zimejaa makato ya pesa walizokopa benki ili wanunue vigari vya milioni kumi na kitu!....Upo sahihi kabisa hiyo gari kamvua mtu... Lazima tukubali kuwa diamond Bado hajafikia uwezo wa kuagiza huyo mnyama...... namba mpya ss hv ni CTA-C Hiyo ni BXF
Perhaps that's not his taste..
labda kanunua kwa mtu
Hivi gari yenye namba T....BXF ni gari jipya??? Labda mie sijui maana ya gari jipya nifafanulieni