Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

Jospina

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
2,421
Reaction score
1,395
Shame on u Kibonde sikutegemea unaweza kufanya vitu kama ulivyofanya leo pale ubungo asbh uuuuh ivi nn maana ya public figure ya Tz hii mnatuonyesha nn duh Polen clouds maana jamaa kachemsha.




UPDATES:





 

Attachments

  • kibonde na traffic.jpg
    77 KB · Views: 8,115
Mshenzi huyo. Na akawekwe rockup/lokapu asiishie counter tu kutoa maelezo kisha aachiwe..
 
Hangover hiyo...chezea long wikend
 
Alivunja sheria za barabarani nini?

Mleta mada weka picha zaidi na habari kamilifu tafadhali
 
Unakimbizwa? Si utoe taarifa kamili?
 
kagonga gari ya mzungu mmoja ilikuwa mbele yake, Mzungu kashuka garini traffick wakaja na kibonde kashuka eti anaanza kumletea kibesi mzungu kwakuona sijui yule mgeni nchi hii akaanza kumsukuma mzungu mwenyewe mrefu kibonde anaonekana kama mbilikimo kwake
trafick wanamzuia akaanza kuwafanyia fujo uuuuh yn kasombwa tanganyika jeki kapelekwa kituoni
 
Achaa ujingaaa wewe...Uyo sio Kibondeee....mbonaa jamaaa...Ndio anatokaaa Home mda huu...
 

we mwenyew zero kweli, sasa kwanin hukutoa habari yote,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…