Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

Hapo ni maeneo ya Ubungo, Kibonde alikua maji (kalewa) kwahiyo katika kuendesha gari kagonga gari ya mbele yake nyuma. Basi kumbe ile gari ya mbele alikua akiendesha tajari wa Kizungu. Kibonde kuona hivyo katoka ndani ya gari ametuna akaanza kumpa shit mzungu na kuanza kumsukuma sukuma. Alijua kwa vile ni mzungu hana haki tena Tanzania. Mzungu mwenyewe huyo ni giant kama Goliati wa kwenye Bible, Kibonde na Traffic walikua kama mbilikimo tu au emolo wale wacheza shoo wa marehemu Pepe Kalle. Ilibidi Kibonde abebwe mzobemzobe hadi kwenye daladala na kupelekwa kituo cha Geshi la PoLish.
 
Ataibuka name kukana picha hiyo na kusema ya dukani
 
Achaa ujingaaa wewe...Uyo sio Kibondeee....mbonaa jamaaa...Ndio anatokaaa Home mda huu...

Kuna means Jf Moja humu alileta Uzi wake jana anadai mtoto wake anaona mishumaa Mara mbili mbili, kwa hiyo hata wewe sikushangai.
 
Hapo ni maeneo ya Ubungo, Kibonde alikua maji (kalewa) kwahiyo katika kuendesha gari kagonga gari ya mbele yake nyuma. Basi kumbe ile gari ya mbele alikua akiendesha tajari wa Kizungu. Kibonde kuona hivyo katoka ndani ya gari ametuna akaanza kumpa shit mzungu na kuanza kumsukuma sukuma. Alijua kwa vile ni mzungu hana haki tena Tanzania. Mzungu mwenyewe huyo ni giant kama Goliati wa kwenye Bible, Kibonde na Traffic walikua kama mbilikimo tu au emolo wale wacheza shoo wa marehemu Pepe Kalle. Ilibidi Kibonde abebwe mzobemzobe hadi kwenye daladala na kupelekwa kituo cha Geshi la PoLish.

shikamoo mzungu,ungempunguza yale meno yake kama maindi
 
Tatizo ni foleni wandugu. Tuko wengi tuna hasira kutokana na kucheleweshwa makazini na foleni ya magari jijini. Maaskari wa barabarani ni wasumbufu sana,mara nyingi wanachelewesha magari ya upande fulani,na kuruhusu ya upande mwingine kwa muda mrefu. Nafikiri jamaa alikuwa anawahi airport. Lakini kwa nini adhalilishwe hadharani kiasi hicho,askari wetu wanatumia maguvu zaidi,kichwani zero. Sikubaliani na kibonde kwa mengi,lakini kwa hili amedhalilihwa.
Nakubaliana na wewe mkuu lakini hapa inaonekana 'wapuuzi' wamekutana na kama alivyowahi kusema Mh. Joseph Mbilinyi kuwa dawa ya mtu mpuuzi ni wewe kuwa mpuuzi zaidi yake.
Yeye amekuwa akitumia nafasi aliyonayo kuwadalilisha wengine badala ya kuwajibika, na naona huenda kaongea na huyo afande kwa dharau zilezile kama amejifungia studio na yaliyomkuta angalau anaweza kushika adabu kidogo.
Hii picha ingelimhusu mtu mwingine hakika ningesikitika lakini kwa huyu jamaa ni sawa kabisa.
Shikamoo mleta picha!

 
Wana Jf, kumekuwa na malalamiko mengi humu jamnvini kuhusu kiburi cha watangazaji wa kituo cha radio cha Clouds FM kuwa juu ya sheria za nchi kwa kufanya mambo watakavyo.

Leo mmoja wao ameonja joto la jiwe baada ya kujifanya mbabe na kumtukana askari wa usalama barabarani Leo asubuhi, picha hapa ikionyesha EPHRAHIM Kibonde akiwekwa chini ya ulinzi baada ya kumtusi askari.

attachment.php

Apigwe tu...shikamoo askari..
 
Back
Top Bottom