Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii habari inafaa kuwa kwenye jukwaa hili?
Achaa ujingaaa wewe...Uyo sio Kibondeee....mbonaa jamaaa...Ndio anatokaaa Home mda huu...
una ushahidi wa askari kutukanwa?
We ndio uache ujinga,mwenzio kaweka picha we picha ikwap?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tatizo ni foleni wandugu. Tuko wengi tuna hasira kutokana na kucheleweshwa makazini na foleni ya magari jijini. Maaskari wa barabarani ni wasumbufu sana,mara nyingi wanachelewesha magari ya upande fulani,na kuruhusu ya upande mwingine kwa muda mrefu. Nafikiri jamaa alikuwa anawahi airport. Lakini kwa nini adhalilishwe hadharani kiasi hicho,askari wetu wanatumia maguvu zaidi,kichwani zero.
Sikubaliani na kibonde kwa mengi,lakini kwa hili? amedhalilihwa.
Nakubaliana na wewe mkuu lakini hapa inaonekana 'wapuuzi' wamekutana na kama alivyowahi kusema Mh. Joseph Mbilinyi kuwa dawa ya mtu mpuuzi ni wewe kuwa mpuuzi zaidi yake.
Yeye amekuwa akitumia nafasi aliyonayo kuwadalilisha wengine badala ya kuwajibika, na naona huenda kaongea na huyo afande kwa dharau zilezile kama amejifungia studio na yaliyomkuta angalau anaweza kushika adabu kidogo.
Hii picha ingelimhusu mtu mwingine hakika ningesikitika lakini kwa huyu jamaa ni sawa kabisa.
Shikamoo mleta picha!
Wana Jf, kumekuwa na malalamiko mengi humu jamnvini kuhusu kiburi cha watangazaji wa kituo cha radio cha Clouds FM kuwa juu ya sheria za nchi kwa kufanya mambo watakavyo.
Leo mmoja wao ameonja joto la jiwe baada ya kujifanya mbabe na kumtukana askari wa usalama barabarani Leo asubuhi, picha hapa ikionyesha EPHRAHIM Kibonde akiwekwa chini ya ulinzi baada ya kumtusi askari.
![]()
Can you prove kamani Kibonde?
Fitna zenu ukawa tuu mtangaika sana