Mazoko
JF-Expert Member
- Jul 10, 2009
- 674
- 184
Nchi inafata katiba sio mtu
Utakuwa mgeni Tanzania juzi watu wamepigwa mabomu mbeya kiss wamebeba maiti wanaenda kuzika polisi wanauliza kibali chakutembea na maiti kipo wapi. Je kunasheria hiyo hapa Tz ???