Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

Nchi inafata katiba sio mtu

Utakuwa mgeni Tanzania juzi watu wamepigwa mabomu mbeya kiss wamebeba maiti wanaenda kuzika polisi wanauliza kibali chakutembea na maiti kipo wapi. Je kunasheria hiyo hapa Tz ???
 
Wadau,

Mnapenda sana UMBEA,muda sijui mnatoa wapi?. Je Mkiambiwa kua walikua wanatengeneza TANGAZO la kutii sheria bila shurti?.

Halafu mnasema nchi yenu masikini. Tanzania itaachaje kuwa masikini kama sample ya watu wake ni aina YENU humu??!!

Negative thinking imewajaa na uzandiki. Fanyeni kazi acheni majungu. Sasa KiBONDE akifungwa au kuwekwa sero wewe unafaidika vipi?

Mchawi sio lazima akuroge

Punguzeni majungu

FP

Umeandika kijambazi jambazi au km unachelewa kwenda kuhara
 
Uzi umejaa ushabiki kiasi kwamba kilichotokea hakieleweki..
 
Umejuaje km yanasababisha ajali kila siku mbona hujawahi kutoa taarifa humu. Haya umesema kila siku tupe updates basi ya jana na leo.
Gamba

Utakapokuja kugundua ni usanii wa clouds fm kutafuta attention ya watu, nadhani utarudi kufuta comment yako. Mark my words
 
Clouds walipopigwa fine kwa ku promote ushoga wakaja kufungiwa kipindi cha xxl nilijua tatizo ni wame lack maadili ya utangazaji kumbe tatizo wafanyakazi wao ni bunch of wahuni

That is Argumentum ad Populum. Ila sijashangaa sana. Ndivyo tulivyo
 
Yani huyu kibwengo nisivyompenda nafikiria kwenda hapo Oysterbay polisi nikamuongezee kesi kwamba aligonga mtu akakimbi na mgonjwa yuko Moi muhimbili, kwa msumali huu hawampi dhamana hata kwa dawa.

Nikipelekwa ICU kwa mbavu kuvunjika kisa kucheka,jiandae kujibu mashtaka
 
Umeandika kijambazi jambazi au km unachelewa kwenda kuhara

Aisifie Mvua imemnyea. Na huwezi kumtambua usiemjua unless ni mwenzako

Kidole kimoja ulichoninyooshea angalia vinne vilivyobakia vinaelekea wapi?

Kama umefika angalau form six utaeelewa......
 
Nchi haina mwenyewe ndo tulipofikia kila mtu yupo juu ya sheria...ujanja ujanja unamaliza taifa hili...baada ya miaka 10 ijayo sijui tutakuwa na taifa gani.....

Freedom wana abuse
 
Unakimbizwa? Si utoe taarifa kamili?

Taarifa zisizothibitishwa zinanadai na kufafanua kuwa, Kibonde wa Clouds kasababisha ajali asubuhi hii eneo la Makumbusho, amemgonga dereva mwingine kwa nyuma. Trafiki walipofika kupima ajali, Kibonde karudi nyuma kaendesha gari lake kasepa! Trafiki katumia gari lililogongwa kumfukuzia. Walifanikiwa kumkamata eneo la Mwenge. Trafiki aliingia ktk gari lake nakumwomba arudi eneo la ajali ili wakapime na kuchora mchoro wa ajali. Kibonde kagoma na kumtaka trafiki ashuke ktk gari lake, trafiki naye kagoma kushuka. Mchezo ulioendelea Kibonde aliondoa gari na kuanza kupiga misele, akizunguka mitaa akiwa na trafiki huyo! Trafiki aliwasiliana na wenzake ambao walianza kuifuatilia gari hiyo ya Kibonde kila kiunga cha jiji hususani eneo la Mwenge na Ubungo. Hayawi, hayawi yakawa, Kibonde akatokea maeneo ya mataa ya Ubungo, hapo nikashuhudia senema ya Kibonde na trafiki! Trafiki wa kike aliyekua eneo hilo akaipiga mkono gari ya Kibonde iliyokuwa kasi, gari hiyo haikuonesha dalili za kupunguza mwendo. Trafiki alikomaa kusimama mkono wake ukiwa juu kuashiria kumtaka Kibonde asimame huku akipaza sauti ktk radio call akisema ananigonga, afande, ananigonga! Akiwa ktk hali hiyo, kuna gari ilikotokea sikujua ikakatisha kati ya trafiki na gari ya Kibonde ndiyo ikawa kigingi cha gari ya Kibonde na kutiwa mbaroni! Aligoma kuendesha gari ikabidi livutwe hadi polisi Urafiki ambapo kwa sasa amepelekwa Oystabay! Kwa utafiti wangu kidogo nilioufanya nikifukuzana na muda kuwahi kanisani, ni kwamba Kibonde na watu wengine aliokuwanao ndani ya gari lake walikuwa 'FULL TINGASI' aka Full Chicha!
 
Sio rahisi nchi inafata sheria,evidence can be a photograph,a letter,documents or records from a before you ever go to court,think about the evidence you want to use to prove your case.If you can't, let the judge decide.

Ushahidi wanao askari na mzungu aliyegongwa!
 
That is Argumentum ad Populum. Ila sijashangaa sana. Ndivyo tulivyo

Umesoma marketing/hr lakini unashindwa admit Kibonde lack basic manners

My argument make sense ndio maana sivyo nilivyo as rest of you & co.
 
Utakuwa mgeni Tanzania juzi watu wamepigwa mabomu mbeya kiss wamebeba maiti wanaenda kuzika polisi wanauliza kibali chakutembea na maiti kipo wapi. Je kunasheria hiyo hapa Tz ???

Prove kama polisi waliomba kibali,wamevaa uniform za chadema wanakwenda kuzika au wanafanya mikutona?
 
Back
Top Bottom