Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kova kama anataka kustaafu kwa aibu na atie puwa yake aone tena Kibonde ana bahati nimekosa mtu aliyebwagwa na bodaboda leo kesi yote angeibeba yeye kwamba alimgonga bodaboda na kuondoka RB namba tayari ninayo.Habari kutoka kituo cha kati osterbay kuwa hilo suala limepelekwa kwa kamanda kova kwa maridhiano, suluhu na fidia kwa kibonge ili suala lisifike mahakamani
mpaka napata habari hizi kikao cha maridhiano bado kinaendelea kati ya maafisa wa police (akiwemo kova na watu wa karibu wa kibonde) na wahanga wa tukio.
Yani huyu kibwengo nisivyompenda nafikiria kwenda hapo Oysterbay polisi nikamuongezee kesi kwamba aligonga mtu akakimbi na mgonjwa yuko Moi muhimbili, kwa msumali huu hawampi dhamana hata kwa dawa.
Du hapa kama oysterbay?
Kasababisha ajali, kakimbia askari, kamteka nyara askari
Huyu hapa anachimba biti kama kawa.
Akipata fursa ya kuzungumzia ishu hii lazma awe na "biasness".
Tumsubiri mkali Kova aje aseme hapo jioni.
Kwi kwi kwi..
Jicho limemtoka ile mbaya...wamemnyesha nini huyu kibonde?
Hivi huyu ng'ombe hiki kiburi anatowa wapi? ana bahati sana huyu leo mtu angekufa kwa kugongwa na garii muder case angeibeba huyu na kiburi chote kingekwisha.
Mkuu mimi mpaka nione hilo gari la mzungu lililo gongwa ila hizi picha wala si za kuamini.Mtakuja kuniambia baada ya siku chache pale Ruge atakapo tangaza kuwa wapo kwenye kampeni
Kuna kipindi Kibonde alikuwa balozi wa hizo kampeni za usalama barabarani
Matola nchi hii hawa wanaojiona wako karibu na watawala ndo wanaotaga mapembe.. Wanaamini na wao wako juu ya sheria.. Hili alilolifanya Kibonde ni kosa kubwa.. Lakini kwa vile hakuna utawala wa sheria hapa sintoshangaa kama rungu halitamuangukia hiyo askari..Hivi huyu ng'ombe hiki kiburi anatowa wapi? ana bahati sana huyu leo mtu angekufa kwa kugongwa na garii muder case angeibeba huyu na kiburi chote kingekwisha.
Traffic offence tumia akili hakuna murder hapo
mkuu mbana picha ya mwanzo na hii suruali hazifanani hau ile ya mwanzo ilichafuka sababu ya uoga.?View attachment 176269salama aleykhum ... Seloozzz....
Kutoka jumatatu.. Weeknd njema mzee wa jahaza a.k.a mchepuko
Aprove nini sasa huu utumbo wa nyani,ama ndo kizazi cha ishara