Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

Habari kutoka kituo cha kati osterbay kuwa hilo suala limepelekwa kwa kamanda kova kwa maridhiano, suluhu na fidia kwa kibonge ili suala lisifike mahakamani

mpaka napata habari hizi kikao cha maridhiano bado kinaendelea kati ya maafisa wa police (akiwemo kova na watu wa karibu wa kibonde) na wahanga wa tukio.
Kova kama anataka kustaafu kwa aibu na atie puwa yake aone tena Kibonde ana bahati nimekosa mtu aliyebwagwa na bodaboda leo kesi yote angeibeba yeye kwamba alimgonga bodaboda na kuondoka RB namba tayari ninayo.
 
Yani huyu kibwengo nisivyompenda nafikiria kwenda hapo Oysterbay polisi nikamuongezee kesi kwamba aligonga mtu akakimbi na mgonjwa yuko Moi muhimbili, kwa msumali huu hawampi dhamana hata kwa dawa.

Kwi kwi kwi..
 

Attachments

  • 1407587088250.jpg
    1407587088250.jpg
    42.7 KB · Views: 284
selo.jpgsalama aleykhum ... Seloozzz....
Kutoka jumatatu.. Weeknd njema mzee wa jahaza a.k.a
mchepuko
 
Hivi huyu ng'ombe hiki kiburi anatowa wapi? ana bahati sana huyu leo mtu angekufa kwa kugongwa na garii muder case angeibeba huyu na kiburi chote kingekwisha.

Traffic offence tumia akili hakuna murder hapo
 
Mkuu mimi mpaka nione hilo gari la mzungu lililo gongwa ila hizi picha wala si za kuamini.Mtakuja kuniambia baada ya siku chache pale Ruge atakapo tangaza kuwa wapo kwenye kampeni

Kuna kipindi Kibonde alikuwa balozi wa hizo kampeni za usalama barabarani

Basi wewe subiri hzo picha ila kibonde yupo kituoni
 
Hivi huyu ng'ombe hiki kiburi anatowa wapi? ana bahati sana huyu leo mtu angekufa kwa kugongwa na garii muder case angeibeba huyu na kiburi chote kingekwisha.
Matola nchi hii hawa wanaojiona wako karibu na watawala ndo wanaotaga mapembe.. Wanaamini na wao wako juu ya sheria.. Hili alilolifanya Kibonde ni kosa kubwa.. Lakini kwa vile hakuna utawala wa sheria hapa sintoshangaa kama rungu halitamuangukia hiyo askari..
 
Last edited by a moderator:
Duuhii si Igizo kabiasaaa
 

Attachments

  • 1407588318392.jpg
    1407588318392.jpg
    56.9 KB · Views: 267
Back
Top Bottom