Picha fikirishi ya Magufuli

Alisikika mvuta bangi wkt akiwa anachanja gomba.
 
Ben Saanane Mkuu, na wengine "maelfu" kwenye viroba.
 
Unatetea upuuzi
 
Magufuli ni kama alijua mapema kwamba ni yeye ndiye anayefuata...

so touching asee...
Bunadamu yyt timamu hajui kesho yake, might be you, might be anyone regardless his/ her super power. Ishi na watu vizuri.
 
hii picha nliishtukia kitambo sana, nilimuwaza mara 100 mpiga picha.
Mimi nilishituka sana kuona marais wasitaafu wanakutana na Rais bila barakoa, nikajua hapa kuna kitu inakuja, ujue ukishakua above 50 immunity inakuwa low na unakua na medical issues nyingi mno,,,
RIP chuma ,RIP BWM, RIP maalim seif, hans popes, etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…