Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
Hatari sana mkuu.Duh kweli engine zimeshiba. Si mchezo
SIO KABISA Mkuu tuliingizwa changa la macho, gari zote zilizombeba Maraehemu JPM ni HammerHiyo inayobeba late JPM ni product ya kwa matius mkoani Pwani nchini Tanzania, msichanganye tafadhali.
Kumbe wewe ndo nyumbu duh!Nilifikiri ni product ya Nyumbu duh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]mafuta ya vidumuHilo gari lina kiu sana, ukiwa ni mtu wa mafuta ya vidumu, utalipaki.
Kuna picha kaweka hapa ni za Humvee. Humvee ziko chini zaidi, sio ndefu kwenda juu ili kuwa na centre of gravity kubwa kuweza kupiga kwenye terrains na angle kubwa ya kulala.Hivi unatofautisha vipi hummer na humvee?
We mzee hyo gari iliyombeba magufuli ni product ya nyumbu kikosi cha jw ambao wanatengeneza mpaka gari za zimamotoH1 toleo la kwanza la hammer ( Mwaka1992 - 2002) chini ya kampuni ya kimarekani AM General baadae GM.
Gari hili lilitengenezwa mahususi kwa matumizi ya kijeshi, pia zilitoka models kwa ajili ya raia wa kawaida kutokana na demand kubwa.
View attachment 1732211View attachment 1732212View attachment 1732213View attachment 1732214View attachment 1732215View attachment 1732217View attachment 1732218View attachment 1732219
HAPO UMEWAUMBUA WATU WENGI ndio maana nikaweka picha za magari ya nyumbu watofautishe na hizo HammerHahahahaha Mkuu Hii Gari ya nyumbu imekamilika? Ina injini au ni body la nje
H1 toleo la kwanza la hammer ( Mwaka1992 - 2002) chini ya kampuni ya kimarekani AM General baadae GM.
Gari hili lilitengenezwa mahususi kwa matumizi ya kijeshi, pia zilitoka models kwa ajili ya raia wa kawaida kutokana na demand kubwa.
View attachment 1732211View attachment 1732212View attachment 1732213View attachment 1732214View attachment 1732215View attachment 1732217View attachment 1732218View attachment 1732219
Nilifikiri ni product ya Nyumbu duh.
Jerrybanks wewe ni mtaalam wa Magari sana hebu ingia site ya Nyumbu GARI ZA NYUMBU - Google Suche utazikuta hizo HammerWe mzee hyo gari iliyombeba magufuli ni product ya nyumbu kikosi cha jw ambao wanatengeneza mpaka gari za zimamoto
Hahahahaha nashangaa.hawafanyi mass.production.sijui.kwaniniHahahaha hizo nyumbu ni spesho kwa maonyesho ya saba saba
Ila naskia kuna production plant ya magari ambayo inatengenezwa kibaha nadhani soon tutaanza kufyatua magari yetuHahahaha No demand no mass production
nyumbu hawatengenezi gari za zimamoto, wanafabricate mabodi na kuvesha😎We mzee hyo gari iliyombeba magufuli ni product ya nyumbu kikosi cha jw ambao wanatengeneza mpaka gari za zimamoto