Picha Gari Hammer H1 Military Heavy Machine

Picha Gari Hammer H1 Military Heavy Machine

Hiyo inayobeba late JPM ni product ya kwa matius mkoani Pwani nchini Tanzania, msichanganye tafadhali.
SIO KABISA Mkuu tuliingizwa changa la macho, gari zote zilizombeba Maraehemu JPM ni Hammer
NYUMBU za Kibaha ni hizi hapa
1616493645442.png
1616493704028.png

1616493761193.png
1616493846076.png

Hizi nyumbu zisingeweza ule mwendo wa Dodoma Chamwino kuupeleka mwili Ikulu
tungesikia maajabu tu lazima
cc Cash Money Forever
 
Usd 25,000
 

Attachments

  • 77DD9431-76DD-4B7A-A4A3-F317E24F81FF.jpeg
    77DD9431-76DD-4B7A-A4A3-F317E24F81FF.jpeg
    44 KB · Views: 2
  • 24B7A4C7-C7E4-41D7-A0D9-AD6E92EF1F93.jpeg
    24B7A4C7-C7E4-41D7-A0D9-AD6E92EF1F93.jpeg
    50.5 KB · Views: 2
  • 3EB7EBDC-55E3-4F2F-B5B8-2FEBEA0F2938.jpeg
    3EB7EBDC-55E3-4F2F-B5B8-2FEBEA0F2938.jpeg
    25.2 KB · Views: 2
Tupe na features zake....

Kuna kipi cha ziada na vitu kama hivyo
 
H1 toleo la kwanza la hammer ( Mwaka1992 - 2002) chini ya kampuni ya kimarekani AM General baadae GM.

Gari hili lilitengenezwa mahususi kwa matumizi ya kijeshi, pia zilitoka models kwa ajili ya raia wa kawaida kutokana na demand kubwa.

View attachment 1732211View attachment 1732212View attachment 1732213View attachment 1732214View attachment 1732215View attachment 1732217View attachment 1732218View attachment 1732219
We mzee hyo gari iliyombeba magufuli ni product ya nyumbu kikosi cha jw ambao wanatengeneza mpaka gari za zimamoto
 
Hahahahaha Mkuu Hii Gari ya nyumbu imekamilika? Ina injini au ni body la nje
HAPO UMEWAUMBUA WATU WENGI ndio maana nikaweka picha za magari ya nyumbu watofautishe na hizo Hammer
show ya mbele pale kwenye rediator tu inaonesha utofauti wake pia na taa za mbele Gari zote zinazombeba Mar Rais wetu ni Hammer na hazitengenezwi Kibaha
mwenye kubisha mwambie aweke Gari za nyumbu hapo
 

Attachments

  • B7EE3BCC-5A4A-4883-BD9C-9C64DD577CE3.jpeg
    B7EE3BCC-5A4A-4883-BD9C-9C64DD577CE3.jpeg
    42.1 KB · Views: 2
hammer.jpeg
Hammer 3.jpeg
hammer 1.jpeg

hapo earl kwa picha zako umesaidia Mkuu hizo ndio Hammer je zinatengenezwa Kibaha Kiwanda cha Nyumbu? tulinganishe hapo kwenye bonnet ya mbele juu na show ya rejeta
1616530636891.png
1616530636891.png
 

Attachments

  • 1616530056320.png
    1616530056320.png
    112 KB · Views: 2
m nashaur tu nyumbu waendelee kutengeneza mashine za kufyatua tofal kwenye magar wawaachie wajapan na wamarekan as longer zinaingia bila kodi mana n za serekal mana product ya nyumbu unaweza kukata kona ukajkuta huna Tairi
 
Back
Top Bottom