Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Je wanawake wanajiremba ili wapendeze au ili wawavutie wanaume au yote mawili ?Mimi Niko natural hata dawa sijaweka.
Nazungumzia ukweli halisi.
Huwa wanaume wanajidai kuwa hawawataki wavaa mawigi lkn ndio wanaowatongoza kila siku na sijaona mwanaume akimkataza mkewe ama mpenziwe asitumie hizo nywele ndio kwanza huwapa hela wakanunue.
Fanya hivyoHa ha ha ha ha
Ningekuwa na uwezo ningekupa picha yangu unione lkn haina sababu
Fanya hivyo
Naahidi sitokuangusha.
pm iko wazi fanya ku slide tu.
Je wanawake wanajiremba ili wapendeze au ili wawavutie wanaume au yote mawili ?
Oge Okoye&Chika Ike,Ritha au tontoh diker
Hapa utawasingizia bure wanaume tukubaliane jibu moja WANAWAKE MNA MAMBO MENGI.Mimi Niko natural hata dawa sijaweka.
Nazungumzia ukweli halisi.
Huwa wanaume wanajidai kuwa hawawataki wavaa mawigi lkn ndio wanaowatongoza kila siku na sijaona mwanaume akimkataza mkewe ama mpenziwe asitumie hizo nywele ndio kwanza huwapa hela wakanunue.
Kisa kujenga ukaribu na uaminifu
Njoo basi.
Hapa utawasingizia bure wanaume tukubaliane jibu moja WANAWAKE MNA MAMBO MENGI.
Hawa wa kwetu kwenye"mnuso" lazima wakutane.Mastaa wa bongo wanaonana vizuri tu mfano kwenye arobain ya mtoto wa zamaradi walikuwepo wa kutosha na picha za pamoja nyingi tu.
Nilimla chief.Na hujamla
Rita Kamanda.Ritha au tontoh diker
RubaniOmotola mama wa watoto wanne na generali wa jeshi.
Chai zingine izi jamaniNilimla chief.
basi inywe kama ni chai. Ulitaka uje unishikie paja wakati namla?Chai zingine izi jamani
Chai zingine izi jamanibasi inywe kama ni chai. Ulitaka uje unishikie paja wakati namla?