Picha: Genevieve , Omotola, waonana uso kwa uso

Picha: Genevieve , Omotola, waonana uso kwa uso

Mimi Niko natural hata dawa sijaweka.

Nazungumzia ukweli halisi.

Huwa wanaume wanajidai kuwa hawawataki wavaa mawigi lkn ndio wanaowatongoza kila siku na sijaona mwanaume akimkataza mkewe ama mpenziwe asitumie hizo nywele ndio kwanza huwapa hela wakanunue.
Je wanawake wanajiremba ili wapendeze au ili wawavutie wanaume au yote mawili ?
 
Ritha au tontoh diker
Oge Okoye&Chika Ike,
Kule Ghana kuna Nadia Buari;Martha Ankomah; Julieth Ibrahim; Yvone Nelson; Yvone Okoro&Jackie Appiah.....
Maisha yanaenda kasi sana eti hawa wote now ni kina Mama watu wazima[emoji5][emoji5]
 
Mimi Niko natural hata dawa sijaweka.

Nazungumzia ukweli halisi.

Huwa wanaume wanajidai kuwa hawawataki wavaa mawigi lkn ndio wanaowatongoza kila siku na sijaona mwanaume akimkataza mkewe ama mpenziwe asitumie hizo nywele ndio kwanza huwapa hela wakanunue.
Hapa utawasingizia bure wanaume tukubaliane jibu moja WANAWAKE MNA MAMBO MENGI.
 
Back
Top Bottom