Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Swali la msingi sana hilo.Asiogope.Hatuji kumfanyia upekuzi.Na hata hivyo gongo imeruhusiwa.Hivyo basi ,bangi ipo njiani kuwepo kwenye uhuru wa manyani.Bangi huwa unaiifadhi sehemu gani??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeniwahi..MKUU IKO KIATU KAMA KINAPIGA MIAYO HV HAHAHA KINANJAA
Voxser empire
Kumbe anatakiwa akaliweke wapi na ana chumba kimoja? Mbona mnataka kufanya maisha ya sie wengine yaonekane magumu kuliko yalivyo maana yalishakuwa magumu tayariJiko La gesi unaliweka chumbani mkuu uko serious na uhai wako kweli, ushauri wangu jitahidi usafi ni aibu mifuniko ya ndoo kuiweka juu ya godoro. Punguza kwenda kwenye mikutano ya ccm ufanye usafi ghetto.
Pacha hilo tunajua tunaoishi stoo tuKumbe anatakiwa akaliweke wapi na ana chumba kimoja? Mbona mnataka kufanya maisha ya sie wengine yaonekane magumu kuliko yalivyo maana yalishakuwa magumu tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
Akaliweke nje ya nyumba huku kwetu uswahilini tunapikia ukumbini au nje kabisa kuepusha hatari.Kumbe anatakiwa akaliweke wapi na ana chumba kimoja? Mbona mnataka kufanya maisha ya sie wengine yaonekane magumu kuliko yalivyo maana yalishakuwa magumu tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo tufanye nini na uchumi wetu ndio umeishia hapo?Pacha hilo tunanua tunaishi stoo tu
Shati langu ninalolipenda kuliko yote
Pacha hilo tunajua tunaishi stoo tu
???
Nje watapita naloAkaliweke nje ya nyumba huku kwetu uswahilini tunapikia ukumbini au nje kabisa kuepusha hatari.
Kidumu Chama cha mapinduziJiko La gesi unaliweka chumbani mkuu uko serious na uhai wako kweli, ushauri wangu jitahidi usafi ni aibu mifuniko ya ndoo kuiweka juu ya godoro. Punguza kwenda kwenye mikutano ya ccm ufanye usafi ghetto.
Wale wanaolala kwenye magari siku moja moja wanacomment wapi?[emoji81][emoji81][emoji81]Pacha hilo tunajua tunaishi stoo tu
Akaliweke nje ya nyumba huku kwetu uswahilini tunapikia ukumbini au nje kabisa kuepusha hatari.
Bangi zipo hapo ndaniSwali la msingi sana hilo.Asiogope.Hatuji kumfanyia upekuzi.Na hata hivyo gongo imeruhusiwa.Hivyo basi ,bangi ipo njiani kuwepo kwenye uhuru wa manyani.