Picha: Ghetto la ndege John

We jinga kweli ndio maana mnataka kuiweka ccm milele.. Yaani unaridhika na hiyo stoo eti chumba. Unaridhika na hivyo Viatu kama mtego wa kukamatia swala.


Hayo maisha inabidi yakupe hasira sio kuridhika ..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu na ndoto zake na mipango yake..wewe Baki na hasira zako ukiua tafuta utajiri.. Mimi nimeridhika na fedha zangu
 
Unanikumbusha ile nyimbo ya Uliza Kiatu. Na pia sema jumba langu. maana hapa hata demu hachomoki la maana sana

Unanikumbusha ule wimbo wa Uliza Kiatu. Na pia sema jumba langu. maana hapa hata demu hachomoki la maana sana
 
Bonge la Ghetto mkuu,afu mi nimependa hicho kideo kinaendana na hiyo raba yenye rangi nyeuoe na nyekundu hongera sana kamanda,kiubishiubishi tutalisonga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…