Hayanihusu Niko busy View attachment 1611642View attachment 1611643
Kiuhalisia yukoje?maana nishakata tiketi ya kuja mjini daresalama nije nijifirisi Kama child mapenzi au nitajirike Kama chidbway gwajimaHuyo mwanadada kuna siku nilikutana nae mlimani city aiseee kiuhalisia ni tofauti sana na anavyoonekana kwenye tivii na mitandaoni
Sana , watamroga mbwa huyo abakishe boxer tu mjini mwache ajishaue kama chupi ya mjane
Mkuu nimekua nikikuona we ni mbea na umbea unaujua. Hivi huyu vunja bei pesa zake hasa anapata kutokana na nini. Haiwezekani eti nguo aisee. Mi umbea sijui lkn nauliza tu. Huenda nikawa kama wewe.Gigy Siku hizi anakua mcharo, Naona mambo yake si Haba, halafu na yeye kawa pisi Kali Siku hizi , Tatizo tu uswahili ndo mwingi, ila kwa uzuri mashallah lizur na Naona mganga wake wa sasa hivi hajamtapeli, sifa na utukufu pia ziende kwa fred vunja bei mlezi wa wanaView attachment 1611539
Jamaa alianza vizuri sana kwenye biashara yake ila alipofikia sasa na njia anayotumia kutoboa ni ishuFred vunjabei limbukeni lazma afirisike soon.. Km chidi mapenz.. Anapenda sana fame
Mwana hiyo kitoko Ni shidaHayanihusu Niko busy View attachment 1611642View attachment 1611643
Mnajua anatokea wapi??? Haya wakamloge waoneSana , watamroga mbwa huyo abakishe boxer tu mjini mwache ajishaue kama chupi ya mjane