Picha: Gigy Money new looks

Picha: Gigy Money new looks

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Gigy Siku hizi anakua mcharo, Naona mambo yake si Haba, halafu na yeye kawa pisi Kali Siku hizi , Tatizo tu uswahili ndo mwingi, ila kwa uzuri mashallah lizur na Naona mganga wake wa sasa hivi hajamtapeli, sifa na utukufu pia ziende kwa fred vunja bei mlezi wa wana
IMG_8248.jpg
 
Gigy Siku hizi anakua mcharo, Naona mambo yake si Haba, halafu na yeye kawa pisi Kali Siku hizi , Tatizo tu uswahili ndo mwingi, ila kwa uzuri mashallah lizur na Naona mganga wake wa sasa hivi hajamtapeli, sifa na utukufu pia ziende kwa fred vunja bei mlezi wa wanaView attachment 1611539
Mkuu nimekua nikikuona we ni mbea na umbea unaujua. Hivi huyu vunja bei pesa zake hasa anapata kutokana na nini. Haiwezekani eti nguo aisee. Mi umbea sijui lkn nauliza tu. Huenda nikawa kama wewe.
 
Back
Top Bottom