joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Demu kishachuja huyo,sijui lile shepu limeenda wapi,manake kipindi kile alikuwa akialikwa na Sam Misago ktk FNL zile nguo alizokuwa akivaa na ule mshepu mpaka watu wakawa wana lalamika kwa ajili ya mavazi yake.
Na mtizama sasa hivi naona mshepu hana kwa kivupi hana maajabu yoyote yale kawa wa kawaida.
Na mtizama sasa hivi naona mshepu hana kwa kivupi hana maajabu yoyote yale kawa wa kawaida.