Picha: Gigy Money new looks

Picha: Gigy Money new looks

Demu kishachuja huyo,sijui lile shepu limeenda wapi,manake kipindi kile alikuwa akialikwa na Sam Misago ktk FNL zile nguo alizokuwa akivaa na ule mshepu mpaka watu wakawa wana lalamika kwa ajili ya mavazi yake.

Na mtizama sasa hivi naona mshepu hana kwa kivupi hana maajabu yoyote yale kawa wa kawaida.
 
Gigy Siku hizi anakua mcharo, Naona mambo yake si Haba, halafu na yeye kawa pisi Kali Siku hizi , Tatizo tu uswahili ndo mwingi, ila kwa uzuri mashallah lizur na Naona mganga wake wa sasa hivi hajamtapeli, sifa na utukufu pia ziende kwa fred vunja bei mlezi wa wanaView attachment 1611539
Binamu mbona akiongea sauti kama spika mbovu
 
Demu kishachuja huyo,sijui lile shepu limeenda wapi,manake kipindi kile alikuwa akialikwa na Sam Misago ktk FNL zile nguo alizokuwa akivaa na ule mshepu mpaka watu wakawa wana lalamika kwa ajili ya mavazi yake.

Na mtizama sasa hivi naona mshepu hana kwa kivupi hana maajabu yoyote yale kawa wa kawaida.
Demu ana sauti mbaya kama mlevi wa gongo
 
Back
Top Bottom