joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Mkinga yule binamu!Sana , watamroga mbwa huyo abakishe boxer tu mjini mwache ajishaue kama chupi ya mjane
Nimesoma nae na kaka ake!Edit nyingi sana aisee..
ila fred sio kama Chid yule mkinga afu kidogo millions zimesoma kuliko zilivyokua kwa chid
Vunja bei na rahim nani anapenda sana fame?!Fred vunjabei limbukeni lazma afirisike soon.. Km chidi mapenz.. Anapenda sana fame
Binamu mbona akiongea sauti kama spika mbovuGigy Siku hizi anakua mcharo, Naona mambo yake si Haba, halafu na yeye kawa pisi Kali Siku hizi , Tatizo tu uswahili ndo mwingi, ila kwa uzuri mashallah lizur na Naona mganga wake wa sasa hivi hajamtapeli, sifa na utukufu pia ziende kwa fred vunja bei mlezi wa wanaView attachment 1611539
KabisaNimesoma nae na kaka ake!
Kwao zipo tangu baba yao,so ipo kwny familia hajaanza yeye!
Katafuta hela kwa jasho lake hats akifilisika in mzigo wake wewe pambana na hali yakoFred vunjabei limbukeni lazma afirisike soon.. Km chidi mapenz.. Anapenda sana fame
Demu ana sauti mbaya kama mlevi wa gongoDemu kishachuja huyo,sijui lile shepu limeenda wapi,manake kipindi kile alikuwa akialikwa na Sam Misago ktk FNL zile nguo alizokuwa akivaa na ule mshepu mpaka watu wakawa wana lalamika kwa ajili ya mavazi yake.
Na mtizama sasa hivi naona mshepu hana kwa kivupi hana maajabu yoyote yale kawa wa kawaida.
Mwanamke akisha nambia lugha ya hv huwa sirudi tena kwake hata awe mzuri vp!Ukidate na jike dume sahau kabisa kuitwa baby ..
Utaskia tu "oi mwamba Niko period Leo"
Fred vunjabei limbukeni lazma afirisike soon.. Km chidi mapenz.. Anapenda sana fame
Hahahaha π π π .....Ukidate na jike dume sahau kabisa kuitwa baby ..
Utaskia tu "oi mwamba Niko period Leo"