LolAnajichubua sana.
Mhhhhhh, jamesNaona yup na wazee wenzakee ila chibu hakuwa mjinga kumkimbia huyu mama anachob sn na vijana hlf chibu ni kama tu alijizila kuwa na mahusiano na huyu bibi maana km hela chibu anazo bc tu hy mama atajifariji sana ila hawez msahau chibu
Dah!Hii filter imemkubali juzi kwenye msiba wa mengi iligoma au kamera sa bongo hazimpendi?
Ila wanaume wanatufichia siri nyie, kwa sura ya juzi niloona zari akiwa kwenye ualisia wake basi diamond alozoea kumwona face to face ana siri nyingi.
Hivi kweli wambea woote wa Africa wameshindwa kumnyapia huyo kingbae??? Mjivue tu vyeo vya umbeaSpiritual husband wa shoga yetu, sijui Ndo trainer au king bae, shoga yetu nae Ana mambo mengi kiama
Hahahhaha mi nampenda ila anazingua kujitangazia wedding tena mapema mapema si asubiri mambo yakiwa ready au mwanaume ndio atangaze make watu hawashindwi kubeba tunguli ndoa iote mabawa...kufanya hivo inaonesha yuko desperate sana na kuolewa japo in ndoto ya wanawake wengi kuolewa ila atulize mshonoTatizo shoga nae haelewek , waweza kuta hakuna cha king bae wala nn, imaginary husband tu🤣