Picha: Glitz and glamour of Zari the Bosslady

Picha: Glitz and glamour of Zari the Bosslady

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Just have a look at people ambao zari Ana hang out nao, then kabisa bila aibu tulikua tunamfananisha na vikatuni vyetu vya hapa bongo ambavyo havijielewi, Ila wabongo Tuna dhambi, zari is a woman of class bwana , anajielewa, huyu mama she is on her own league.


Picha zifuatazo zinamuonyesha zari akiwa kwenye event kubwa ya luxurial life style iliyofanyika huko SA akiwa pamoja na watu wakubwa maarufu kwenye sector ya burudani.

Ila zari anajua kunyoosha aiseh, cheki alivyotokelezea
IMG_6690.JPG
IMG_6692.JPG
IMG_6691.JPG
IMG_6689.JPG
 
Naona yup na wazee wenzakee ila chibu hakuwa mjinga kumkimbia huyu mama anachob sn na vijana hlf chibu ni kama tu alijizila kuwa na mahusiano na huyu bibi maana km hela chibu anazo bc tu hy mama atajifariji sana ila hawez msahau chibu
 
Naona yup na wazee wenzakee ila chibu hakuwa mjinga kumkimbia huyu mama anachob sn na vijana hlf chibu ni kama tu alijizila kuwa na mahusiano na huyu bibi maana km hela chibu anazo bc tu hy mama atajifariji sana ila hawez msahau chibu
Mhhhhhh, james
 
Hii filter imemkubali juzi kwenye msiba wa mengi iligoma au kamera sa bongo hazimpendi?

Ila wanaume wanatufichia siri nyie, kwa sura ya juzi niloona zari akiwa kwenye ualisia wake basi diamond alozoea kumwona face to face ana siri nyingi.
 
Hii filter imemkubali juzi kwenye msiba wa mengi iligoma au kamera sa bongo hazimpendi?

Ila wanaume wanatufichia siri nyie, kwa sura ya juzi niloona zari akiwa kwenye ualisia wake basi diamond alozoea kumwona face to face ana siri nyingi.
Dah!
 
Nilijua kwa pic hizi watu watakosa Cha kumponda zari, kumbe hakuna kinachoshindikana chini ya jua.
 
Spiritual husband wa shoga yetu, sijui Ndo trainer au king bae, shoga yetu nae Ana mambo mengi kiama
Hivi kweli wambea woote wa Africa wameshindwa kumnyapia huyo kingbae??? Mjivue tu vyeo vya umbea
 
Hivi kweli wambea woote wa Africa wameshindwa kumnyapia huyo kingbae??? Mjivue tu vyeo vya umbea

Tatizo shoga nae haelewek , waweza kuta hakuna cha king bae wala nn, imaginary husband tu🤣
 
Tatizo shoga nae haelewek , waweza kuta hakuna cha king bae wala nn, imaginary husband tu🤣
Hahahhaha mi nampenda ila anazingua kujitangazia wedding tena mapema mapema si asubiri mambo yakiwa ready au mwanaume ndio atangaze make watu hawashindwi kubeba tunguli ndoa iote mabawa...kufanya hivo inaonesha yuko desperate sana na kuolewa japo in ndoto ya wanawake wengi kuolewa ila atulize mshono
 
Zari the beautiful lady, zari thebosslady, zari minyoosho kajua kuninyooshea watandale walijua ataenda kuwalamba miguu alivo kuja kwenye charity subutuuu mjukuu wa idiamin roho konki.
 
Back
Top Bottom