Picha: H. Baba, Florah ndani ya mjengo mpya

yaan hawa watu wanatafuta Kik lakini watu kama hawawaoni!! walinichekesha eti wamepeana tuzo mtu na mke wake
 
Nimeshtuka nikadhani yao,looh

Na kodi yake kwa mwaka sio chini ya milion moja na nusu, na ivi iko mbezi beach bei yake si ya kitoto, sasa apo wema anahusika vipi? Hao si wanandoa si wawashindanishe na mastaa wenye ndoa kama wao, wema wamfananishe na malaya wenzie akina lulu,wopler na aunty
 

wasanii wa bongo muvi kichekesho kweli aisee.
 
Mi nadhan ingekua yao ingependeza kumbe kupanga, hhhhhaaaaaaaaaaa,bado sana wajengeee

Wanajishaua kujifanya ndo akina jay z na beyonce, maana bibie flora na yeye siku izi anaimba, yan ukisikia anavyoimba utataman kumzaba vibao, na izo pesa sijui wanapata wapi wasitudanganye mziki
 
Ndio walewale umesahau ya Kanumba???

Mmh, usikute wamepanga vyumba viwil au kimoja, hawana ubavu wa kupanga ghorofa nzima hiyo, ndo yale yale ya kajala kujifanya kapanga ghorofa sinza kumbe kapanga juu tu, ila ata kama kapanga vyumba viwili, unajua mbezi beach nyumba ya chini tu ni bei mbaya kupanga, sembuse ghorofa, huyo h baba ajiangalie, na asidanganye mziki ndo umemlipa
 
yaan hawa watu wanatafuta Kik lakini watu kama hawawaoni!! walinichekesha eti wamepeana tuzo mtu na mke wake

ahaha ahahh, eti wanapeana tuzo wenyewe, maskin wanajitahid wenyew kujiongeza na kujifanya maarufu ila wapi, umaarufu una watu wao bhana, watulie tu
 

Bina nyumba ipi kodi ni milioni na nusu???hiyo waliopanga
 
ahaha ahahh, eti wanapeana tuzo wenyewe, maskin wanajitahid wenyew kujiongeza na kujifanya maarufu ila wapi, umaarufu una watu wao bhana, watulie tu

Huyo bibie nae kwa kujichubua ni hatareee
 
Wanajishaua kujifanya ndo akina jay z na beyonce, maana bibie flora na yeye siku izi anaimba, yan ukisikia anavyoimba utataman kumzaba vibao, na izo pesa sijui wanapata wapi wasitudanganye mziki

Hhhhhaaaaa et utatamani umzabe vibao na macho yao yale yanafanana,bina niliona video et wanasema ni ya Ngwea kapasuliwa katikati mbavu zimeachanishwa,halaf utumbo wanatoa kete za madawa ya kulevya ee niliogopa bina zile kete unameza au? ?halaf watu wengi humo chumbani sijui kwanini,halaf inaruhusiwa jaman kumsambaza marehemu akifanyiwa vile tena uchii lo
 

i smell sembe sembe sembe my cuzoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…