Picha: Haji Manara aoa mke wa pili jioni ya Aprili 14, 2022

Picha: Haji Manara aoa mke wa pili jioni ya Aprili 14, 2022

Halafu naskia huyu mzungu wetu anapenda ile michezo michafu.......Naskia ni mf.ira mashoga mashuhuri
Pamoja na kashfa ya ufiraji pia inasemekana vyombo havipigi mziki vizuri.

Mara inalia speker Moja ,mara mziki kuzima katikati ya uhondo wa ngoma.

Sasa Kuna mwanamke atabaki?

Manara akubali kusaidiwa Kazi kama hataki basi yatamkuta makubwa zaidi.
 
Ukioa mwanamke wa kiarabu unakuwa na kibarua cha kumlisha pilau la mbuzi au biriani kila leo, kuna jamaa yangu alikuwa anafanya kazi uhamiaji akawa na vihela vya kutambia mjini akampta mtoto wa kiarabu na kumuoa , mtoto wa kiarabu hala ugali wala wali maharage, yeye ni pilau au biriani la mbuzi kila kukicha kakosa sana wali wa nanzi na samaki wa kupaka, jamaa hali ikaanza kuwa tete kwa kutaka kumridhisha binti wa kiarabu, matokeo yake akafukuzwa kazi kwa kukiuka maadili ya kazi ili amridhishe mtoto wa kiarabu, na hatimae baada ya kuona mume hana kazi mtoto wa kiarabu naye akatimuka na kumuacha jamaa. halafu wanawake wa kiarabu ni wachoyo balaa hasa kwa shemeji wamatumbi hawataki watuone majumbani mwao.
Uko sahihi mademu wa kiarabu ni mtihani, Kuna dogo mmoja Co (clinical officer) ni mzazibar yupo Unguja kaoa mwarabu Kuna siku ananiambia kawanunulia watoto wake wa2 nguo nne nne Kila mmoja za kuvaa sikukuu Kila sikukuu nguo yake na mke pia zimemgharimu karibu laki 7 alafu ukija kazini kutwa kusumbua watu kuomba vijiwe vya kufanyia kazi sasa unabaki unajiuliza kwann unaishi maisha ambayo hayaendani na kipato chako
 
Uko sahihi mademu wa kiarabu ni mtihani, Kuna dogo mmoja Co (clinical officer) ni mzazibar yupo Unguja kaoa mwarabu Kuna siku ananiambia kawanunulia watoto wake wa2 nguo nne nne Kila mmoja za kuvaa sikukuu Kila sikukuu nguo yake na mke pia zimemgharimu karibu laki 7 alafu ukija kazini kutwa kusumbua watu kuomba vijiwe vya kufanyia kazi sasa unabaki unajiuliza kwann unaishi maisha ambayo hayaendani na kipato chako
Waarabu nuksi wanapenda good life balaa
Hawali ugali wale Wala maharage
 
Pamoja na kashfa ya ufiraji pia inasemekana vyombo havipigi mziki vizuri.

Mara inalia speker Moja ,mara mziki kuzima katikati ya uhondo wa ngoma.

Sasa Kuna mwanamke atabaki?

Manara akubali kusaidiwa Kazi kama hataki basi yatamkuta makubwa zaidi.
Fasihi simulizi ya Tanzania ni Hatare yani umeelezea jambo zito kwa kutumia music [emoji12][emoji23][emoji12][emoji23]
 
Muarabu ili umuoe inabidi akupende mwenyewe au uwe na pesa.

Maisha tunayoishi kama mimi hapa sina connection na waarabu na sina pesa ya kuoa kwa mwarabu kwa sasa kwa sababu inahitaji gharama na akupende kweli.

Ukiwa na pesa atakupenda tu ndio maana watu wanaoa waarabu wakishakuwa na pesa.

Na sidhani kama kuna ubaya kutumia pesa zako kuoa mtu unayemtaka.
Yani hata Waarabu wa Sharifu shamba au Tabora umekosa?
 
Hao sio waarabu,ksma hao wamejaa kibao pemba.

Mimi nazungumzia waarabu wale mahalati wakishua waarabu kweli sio hawa wenye ngozi nyeupe wanaoishi uswahilini
Sasa hapo unazungumzia wakishua sio kusema Waarabu
 
Back
Top Bottom