sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Umeisikia manara anatembeza show za kufa mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] booster labdaa, uwezo anao sasa??
Khaaaaaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeisikia manara anatembeza show za kufa mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] booster labdaa, uwezo anao sasa??
Khaaaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atembezeee wapi? Anatembezewa yeye labdaa.Umeisikia manara anatembeza show za kufa mtu
Jibu kwa utabiri wako limetimiaDini inasema unapotaka kuoa mke wa pili ni lazima uombe ridhaa kwa mke wako wa Kwanza.
Je, Manara ana baraka za mkewe mkubwa?
Jibu ni no,
Manara ana uwezo wa kuishi na wake wawili?
Jibu ni no,
Kama hivyo, basi tusubiri matukio ya manara kukimbiwa.
Dini inasema unapotaka kuoa mke wa pili ni lazima uombe ridhaa kwa mke wako wa Kwanza.
Je, Manara ana baraka za mkewe mkubwa?
Jibu ni no,
Manara ana uwezo wa kuishi na wake wawili?
Jibu ni no,
Kama hivyo, basi tusubiri matukio ya manara kukimbiwa.
Yametokea huko uliyoyawaziaDini inasema unapotaka kuoa mke wa pili ni lazima uombe ridhaa kwa mke wako wa Kwanza.
Je, Manara ana baraka za mkewe mkubwa?
Jibu ni no,
Manara ana uwezo wa kuishi na wake wawili?
Jibu ni no,
Kama hivyo, basi tusubiri matukio ya manara kukimbiwa.
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila dini inamruhusu mwanaume kupewa mda wotee anaruhusiwa kuweka vitanda mpk jikoni ,popote,wakati wote
[emoji16][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1]Kwamba Manara alimfanyia mambo ya kitamafmduni tajiri wa Kkoo aliyeoa mke wake waliyeachana?
Alafu wengine wanataka mshedede kila SAA wengine wanakimbia dah[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila dini inamruhusu mwanaume kupewa mda wotee anaruhusiwa kuweka vitanda mpk jikoni ,popote,wakati wote
Hahahaha....kweli tumetofautiana wanadamuAlafu wengine wanataka mshedede kila SAA wengine wanakimbia dah
Hawa wote ht miaka mitano Bado kawaacha[emoji16]
Wanawake wa Instagram haoHawa wote ht miaka mitano Bado kawaacha[emoji16]
Yaani Si rahisi kudumu alipaswa aoe mke wa kutulia asiye na makuu na asimuoneshe onesheWanawake wa Instagram hao
kwa mambo apendayo ndoa kusimama inakuwa kipengele 😀😀😀..
Ukioa mwanamke wa kiarabu unakuwa na kibarua cha kumlisha pilau la mbuzi au biriani kila leo, kuna jamaa yangu alikuwa anafanya kazi uhamiaji akawa na vihela vya kutambia mjini akampta mtoto wa kiarabu na kumuoa , mtoto wa kiarabu hala ugali wala wali maharage, yeye ni pilau au biriani la mbuzi kila kukicha kakosa sana wali wa nanzi na samaki wa kupaka, jamaa hali ikaanza kuwa tete kwa kutaka kumridhisha binti wa kiarabu, matokeo yake akafukuzwa kazi kwa kukiuka maadili ya kazi ili amridhishe mtoto wa kiarabu, na hatimae baada ya kuona mume hana kazi mtoto wa kiarabu naye akatimuka na kumuacha jamaa. halafu wanawake wa kiarabu ni wachoyo balaa hasa kwa shemeji wamatumbi hawataki watuone majumbani mwao.Muarabu ili umuoe inabidi akupende mwenyewe au uwe na pesa.
Maisha tunayoishi kama mimi hapa sina connection na waarabu na sina pesa ya kuoa kwa mwarabu kwa sasa kwa sababu inahitaji gharama na akupende kweli.
Ukiwa na pesa atakupenda tu ndio maana watu wanaoa waarabu wakishakuwa na pesa.
Na sidhani kama kuna ubaya kutumia pesa zako kuoa mtu unayemtaka.
Huyu mwamba na Kitenge ni kama wametoka tumbo moja, kuanzia kuongea utumbo hadi kwenye masuala ya ndoa zao na hata kazi zao zinafanana na tabia zao za uchawa zinafanana tofauti ni rangi tu.Mwamba anatumia pesa Kama fimbo. +/-